Pole sana, umenikumbusha mwaka 2009 niliibiwa hivyo na mdada wa jirani na ghetho langu, MUNGU wa ajabu mwezi wa pili mwaka huu nikamfuma geita kaolewa napita njiani, akataka kukimbilia ndani, nikamwambia upogo huku? Kwa aibu, ndiyo..., nikamwambia napita baadae. Nikamwacha anatetemeka midomo.
Wakumbuke hakuna cha milele, wengi walikuwepo leo wako wapi, na wakae wakijua kuna kizazi hakitakuwa na nidhamu ya woga, tutegemee nini??? Ni mtazamo tu.
Lizaboni, uko sahihi kimtazamo, lakini kiuhalisia hauko sahihi kwa maana ya usawa, kumbuka hakuna cha milele, iko siku ccm haitakuwa madarakani, je na wao watafurahia ubabe wa chama kitakachokuwa madarakani au?
Kuna msemo unasema, " utatoa uhai wetu, lakini hutaiondoa jamii" .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.