Recent content by msheshanda

  1. M

    Compare between Dar Lux na ndege za panga boi

    Aeroplane vs bus za tz, oops!!.
  2. M

    Tahadhari: Wizi mpya maeneo ya shopping malls

    Pole sana, umenikumbusha mwaka 2009 niliibiwa hivyo na mdada wa jirani na ghetho langu, MUNGU wa ajabu mwezi wa pili mwaka huu nikamfuma geita kaolewa napita njiani, akataka kukimbilia ndani, nikamwambia upogo huku? Kwa aibu, ndiyo..., nikamwambia napita baadae. Nikamwacha anatetemeka midomo.
  3. M

    Mtanzania Kapata Ajali Muscat Oman

    MUNGU wetu asiyeshindwa, amjalia apone haraka.
  4. M

    UKAWA Wapuuzwe!

    Wakumbuke hakuna cha milele, wengi walikuwepo leo wako wapi, na wakae wakijua kuna kizazi hakitakuwa na nidhamu ya woga, tutegemee nini??? Ni mtazamo tu.
  5. M

    Looking for gentleman

    Mi umri umeshapita. Utapata komaa.
  6. M

    Kwanini CHADEMA wanaogopa sana Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti wa CCM?

    Lizaboni, uko sahihi kimtazamo, lakini kiuhalisia hauko sahihi kwa maana ya usawa, kumbuka hakuna cha milele, iko siku ccm haitakuwa madarakani, je na wao watafurahia ubabe wa chama kitakachokuwa madarakani au? Kuna msemo unasema, " utatoa uhai wetu, lakini hutaiondoa jamii" .
  7. M

    Mufti mfikishie salamu zetu Mh rais atapofika kama mgeni rasmi katika hilo baraza la Eid...!

    Austadh uko sahihi, teuzi lazima zibalance, ingawa mheshimiwa aliyepita naye aliegemea upate fulani kwa ngazi nyeti enzi zake. ALLAH AKBAR.
  8. M

    Hongera Prof. Joseph Buchweshaija

    Tz huwa hakuna kujali professionalism, utasikia daktari waziri wa uchukuzi, n.k. Halafu utegemee ufanisi kweli?? Mi huwa najiuliza sipati majibu
Back
Top Bottom