kuhusu mimi
Mwanume kijana wa miaka ya 90
mkazi wa Dar
nimejiajiri/mjasiriamali/
napenda kuogelea/ kusoma traveling music muvi kula vizuri haswa kinachopokwa ama kupika mwenyewe
Najaribu kukuelewa lakini kwa mtu kujieleza hapa public nadahani hutopata unachokihitaji maana ni kama unatweza utu wake pia ulishaweka vigezo vyako ni vyema kama ungekua na njia yako ya kupokea maombi na kuyachaka kuliko kuhitaji mtu ajieeleze katika uwanja huu wa coment najaribu kuwaza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.