LAMECK Nchemba Mwigulu (33), ni mmoja wa vijana wanaotarajiwa kuwa hazina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika miaka ijayo. Ni mbunge wa CCM katika jimbo la Iramba Magharibi.
Jina la Mwigilu liliibuliwa na mwenyekiti wa chama hicho taifa, Rais Jakaya Kikwete, Aprili mwaka huu alipomteua kuwa...