Ukijenga nyumba bila mchango wa mtu hakuna anapaswa kukupangia matumizi yake, waweza ifanya kanisa, guest, hotel au nyumba ya kuishi. Ndivo ilivo kwa Mange Simu yake, akaunti ni yake, bando lake na muda ni wake hujachangia chochote hivo huna mamlaka wala haki ya kumpangia matumizi ya akaunti...
Moods wa JF mna rohoo mbaya na ngumu kama ya shetani, Niweka uzi wangu hapa muda si mrefu uliobeba madokezo juu ya kifo cha aliyekuwa jabali la siasa nchini Reverend Mtikila, matokeo yake hata nusu saa haijaisha moods mmeufuta, mnaweza nipa sababu za kuufuta? Au kuna habari za watu flani...
Mkuu huijui Mwanza, huyu mamba kaua watu zaid ya 20, na nlikuwa akija Mara kibao pembezon kwa ziwa hasa maeneo ya tilapia, Capri cabana, mswahili na butimba.
Mkuu wanachomaanisha Facebook ni kuwa wametengeneza database maalum itayokuwa na picha za utupu tu, hivo endapo picha yako ikiwa kwenye hiyo database itakuwa imekusaidia pale itapotokea mtu ana picha yako ya utupu na akataka akuchafue kupitia mitandao yao haitowezekana kwakuwa katika kuaplod...
Asante sana chilla sasa waje wabishane na huu ukweli mchungu. Mwanza inasonga sana, kuna mpango wa kuanza ujenzi wa ukumbi mkubwa zaid afrika wa mikutano, ukumbi huu utajengwa pale kwenye garden jiran na ofisi za gsm pembeni ya mto mirongo, na wale watu wa bustani wana paswa kuhama, lakini pia...
Hats dar ilikuwa ya kishamba, kumbuka time change everything so I bet dar itapitwa sana na mini kadhaa miaka ijayo hii ni kutokana na ongezeko la watu na uchangamfumwa wa biashara na upatikanaji wa fursa, pia elimu itasaidia sana miji mingi kujua sana tena kwa kasi
Am really serious bro by the way hata gharama za ujenzi still rockckity ina gharama kubwa tofauti na mliman, kumbuka rock city haijaisha sijui kwa mliman, kumbuka malighafi zote za ujenzi rockcity ni imported kutoka dar na sehem nyingine ya dunia, hivo faham zimesirishwa kwa gharama kubwa, na...
Unapo hesabu mradi wa hizo billion kadha tafadhali anza na thamani ya ardhi kwanza ambapo hapo tu ndio utofauti upo kwani eneo la mliman city ardhi kuipata ilikuw ghali tofauti na Mwanza lakini ujenzi Mwanza ni ghali kuliko mliman city, tukianza n gharama ya cement lazima ilisafiri toka dar...
Wewe una kalili ndio tatizo siyo lazima kila mall ndani pafanane na mliman city, sema were binafsi hujavutiwa na design ya ndani, na kwa taarifa yako design ile unayoiona ni matokeo bora ya ubunifu wa nje na mpangilio wa jengo na ndio maana pale kuna vyumba vingi na vikubwa haswa kuliko mliman city
Wengine siyo wasukuma, sema mliman city ina jina kubwa na uchangamfu wa biashara, tatizo hamtak ukweli, by the way mm mwenyeji wa Tabata kimanga lakini penye ukweli lazima tukubali kuna maeneo mikoani pako vyema kuliko dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.