Msema yote
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 448
- 298
Hats Arusha mkuu kuna pahala panashinda dar acha mwanzaMikoan kama wap mkuu?
Hats Arusha mkuu kuna pahala panashinda dar acha mwanzaMikoan kama wap mkuu?
Hapo ndo nachoka wanadhani dar ndio kilakitukuna wanadhan dar tu ndio kuna vitu vizuri
Arusha kama wap,! Ambapo mi ntakuja halaf nione pagen?..labda ntapenda u nature wa eneo na virginity ya eneo,..ila hakuna kipyaHats Arusha mkuu kuna pahala panashinda dar acha mwanza
Ukipata muda kufikiri japo kidogo unaweza kuedit hii post yakoquality center ndo kila kitu kwa east africa
Hahahahaha arudi tena sioHiv mmefika mcity hiv karibun na kuona investment ya pale au mnaongelea mkiwa huko kolomije,?hiv kuanzia gate1 ile ya njia ya survey had uje gate ya huku kwenye kumbi za mikutano na harus na ofis za vodacom na nyuma kule kwenye apartments zile za kufa mtu,utasema mcity ni mall au city kabsaa.tatzo huyu jamaa mwenye uzi katoka kolomije kaingia mlango wa kwanza kapita kwenye maduka katokea mlango wa pil na samak samak kaiona anajua bas mcity ndo imeishia hapo..rud tena mjomba
kweli wewe Msema yote1.Thamani ya jengo Rock city Mall inathamani kuliko mlimani city.
2.Ukubwa Rockicity Mall ni kubwa kuliko Mlimani city. ,3.Ubora, uzuri na mwonekano Rock city mall ni nzuri kuliko mliman city.
4. Uchangamfu was biashara mlina city kumechangamka kuliko rock city mall
Pale mwanza wasukuma wachache kadiri mji unavyokua wanasogezwa uko vijijin ule mji umetawaliwa naMmhh!wasukuma bwana hako kamji kenu ht mkononi hakajai kupata kamall kamoja bas hatuna raha loooh!
Pambaneni na rock city yenu
mtuacheee...Hivi kweli mtu unaifananisha mlimani city na rock city mall? Kweli wasukuma mna mambo
hata mm mwenyeji wa sinza lkn i stand with rock city mall.Wengine siyo wasukuma, sema mliman city ina jina kubwa na uchangamfu wa biashara, tatizo hamtak ukweli, by the way mm mwenyeji wa Tabata kimanga lakini penye ukweli lazima tukubali kuna maeneo mikoani pako vyema kuliko dar
Haya tumewaachamtuacheee...
Asante sanaHaya tumewaacha
Ha ha ha mimi mwenyeji wa kona ya bwiru ila nipo upande wa M. Cityhata mm mwenyeji wa sinza lkn i stand with rock city mall.
Usisahau wao ndio wamemchagua Rais wa Tanzania.Mmhh!wasukuma bwana hako kamji kenu ht mkononi hakajai kupata kamall kamoja bas hatuna raha loooh!
Pambaneni na rock city yenu
huyu nae wa wapi!kaaaahnaona vikabila vidogo (majogoli) siku hiz vimeungana dhidi ya kabila kubwa (kabila dume) wasukuma. chapa ng'ombe wasukuma ndo tunawatawala mtake msitake. MAGU anawalimisha kwa meno, General mabeyo anawalambisha kwata, makonda ndo mwanaume anayejiamini dar mateja hofu tupu, na jirani yetu wa mara Sirro yeye ni kutupia hivyo vikabila vidogo nyuma ya nondo, humu JF Paschal Mayala nae anatawala jukwaa. Na bado, tumeingia hivi ndo hatutoki tena, yaani inatoka chapa ng'ombe inaingia chapa ng'ombe.