Recent content by mseewakross

  1. M

    Mhadhiri Chuo Kikuu Dodoma ataka Yericko Nyerere apewe PhD mbili kupitia kitabu chake cha Ujasusi

    "Blaza" punguza kumponda huyo jamaa. Dah nimepaliwa na mate kwa kucheka.
  2. M

    Huu hapa umri sahihi wa Shilole

    Wewe ulipokuwa motto Shilole alikuwa tayari anaishi na mme wa kwanza Igunga. Hivi Sasa Wewe una 31yrs na mmewe Sholole ana 38 or 39 (a difference of 8 yrs) Haaa....unachekesha brother. Rudi katengeneze story yako upya ama sivyo acha uchimvi haukufai.
  3. M

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Ninasumbukiwa na ugonjwa was ngozi kwa jina ..PITYRIASIS RUBRA POLARISED. Je unaufahamu ugonjwa huu? Nini tiba yake?
  4. M

    Serena Williams afunga ndoa na Alexis Ohanian

    Miaka yake Inahusikaje kwenye ndoa yake. Acha majungu...
  5. M

    TANZIA: Mbunge mpya wa CUF, Hindu Mwenda afariki dunia

    Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Udini kwenye baadhi ya taasisi za serikali

    Mleta mada Acha uchimvi, fitina na majungu. Jipambanue sawasawa na kwa uwazi kama mada uliyoleta hapa ina mashiko. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Ni nani mwenye ujasiri wa ku expose majina ya waliochota fedha za ESCROW kwenye masandarusi?

    Ikiwa wewe una clues za hizo transactions za huko Stanbic tusaidie wewe. Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
  8. M

    Shigongo amvaa Tundu Lissu

    Ulitaka kusema nini mkuu happy??. Ungeandika kwa kiswahili tu ungesomeka vizuri zaidi. English waachie kina John Mayor, na kina Cameron.
  9. M

    Nahisi hili jitu linachukua msichana wangu

    Mali zake zipi zaliwa??? Si aoe kama anampenda bint?
Back
Top Bottom