Lile eneo baya jamanii... Magari yanayotoka mwenge sometimes yanashuka kwa speed sana hata hiyo zebra magari ni kama hawaioni tu plus watu wameshakufa pale.. Hiko kibridge is long overdue
Ila watanzania nani kawaaminisha kwamba ulikua mkono wa MTU? Its fascinating watu wanavyoshangilia wakati najua wabongo hata kusoma karatasi moja ya hukumu shughuli ... As a country we are doomed!! [emoji17]
Don't get me wrong ... Me niko side ya sherehe ndogo funny enough just a thought of big wedding scares me na suala la kugo out of the way mpaka kukopa ndo ujinga zaidi lakini issue inakuja kuolewa na mwanaume ambaye mama yake amewaza ndoa yake toka ana mwaka ... Unafikiri hapo itakuaje?
All...
As a man you have the power .. Kwangu personally kama mwanamke kutaka sherehe ndogo itakua challenge sana esp ukipata wakwe wenye mtizamo tofauti its starting the marriage on a wrong foot! Kazii sana [emoji21]...
Pressure sometimes inaanzia kwenye familia ... Mama & Madada hawataki kuskia kitu kidogo. Lakini kwenye utamaduni wetu mwanaume ukiwa na msimamo sherehe ndogo inawezekana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.