Hiyo nimeipenda, safi sana makamanda wetu. Pigeni kote kote, hata wazee wetu vijijini sasa wanatuelewa maana mwanzo tulikuwa tukitengwa kwa imani kwamba kuwa opposition parties tunajitakia vita, hali ni tofauti.
Nendeni hadi Ilembula,Kipengere,Makoga, Ulembwe, Lugenge,Luponde,Uwemba,nk watu...