Jamani ata nyie mnaamini kwamba JK alikua akifurahia swahiba zake mawaziri wakipondwa na kutakiwa wawajibishwe kipindi cha bunge eti wakati yeye yupo marekani, ivi ata Bunge alikua akilifatilia kweli..???​
Aksante Mwalimata nyie = hata nyie
ivi ata = hivi hata
Japo maneno hayo yote yametumika kimakosa kwenye hizo sentensi, kwa kifupi sio kiswahili sanifu.
Mkuu nafikiri maneno hayo niliyoandika ndiyo yangefaa yatumike kwenye sentensi.
Kuhusu kauli ya Mh. Rais nafikiri ilikuwa ya kisiasa zaidi, sidhani kama anafurahishwa na haya mambo!