Recent content by msawe

  1. msawe

    Ajiua na wanawe wawili baada ya kuzidiwa na madeni ya VICOBA

    Hili tatizo huenda likaongezeka kwa kas kma iyo
  2. msawe

    Kwanini 'Wazungu' hupambana sana ili Mgonjwa asife, lakini 'Waafrika' hujitahidi mno kufanya 'Maziko' ya Kifahari kwa Marehemu?

    Ni kwasababu watu weng wanapenda kujifaharisha mbele za watu aonekana ni msaada sana kwenye familia au anajiweza sana ktk jamii ndivyo watu wengi walivyo..
  3. msawe

    Nyota nyingine angani zimeshakufa muda mrefu

    Kwaiy vp kuhusu vimondo navyo vilidondoka zamani tunaona marudio tu au..??
  4. msawe

    Huu ndiyo wakati wa majibu uliyokuwa unajiuliza ukiwa mtoto

    Mwanzo nlijiulz kwanin watu wanalilia mapenz nikaona kama wazembe saiv ndo naelew kwanin
  5. msawe

    Swali: Haya mafuta yaliyopanda bei yameingia lini nchini?

    Vita imekuwa sababu ya kila Jambo baya linalotokea saiv
  6. msawe

    Lengo la sisi kuwa hapa duniani ni nini?

    Hatukuzaliwa Kwa bahati mbya kuna kusudio maalum lkn Weng ukweli wanaukimbia labda kwaajili ya kupumbazwa na dunia ambayo muda wte watu wako busy kutafuta mali mwishowe hazina maana yeyte tena tuna jiuliza Kesho tutakula nin lkn atujiulizi tukifa kinaendelea nin
  7. msawe

    NASA yaingia kwenye anga hewa la jua

    Kaz nzur hongera zao
  8. msawe

    Kitu cha ajabu chaonekana kikiwa angani jana jioni

    Izo story kila nkisikia bd zinabak na maswali meng sana yasiyo na majib
  9. msawe

    Zifahamu aina za injini za ndege na zinavyofanya kazi

    Shukran sana sas vp kuhusu uwezo wa izo machine unajuaje Yaan zile ndege ndogo na kubwa uwezo wake ni sawa tofaut ni idadi ya engine au ata uwezo wake pia tofaut
Back
Top Bottom