Ni kwasababu watu weng wanapenda kujifaharisha mbele za watu aonekana ni msaada sana kwenye familia au anajiweza sana ktk jamii ndivyo watu wengi walivyo..
Hatukuzaliwa Kwa bahati mbya kuna kusudio maalum lkn Weng ukweli wanaukimbia labda kwaajili ya kupumbazwa na dunia ambayo muda wte watu wako busy kutafuta mali mwishowe hazina maana yeyte tena tuna jiuliza Kesho tutakula nin lkn atujiulizi tukifa kinaendelea nin
Shukran sana sas vp kuhusu uwezo wa izo machine unajuaje Yaan zile ndege ndogo na kubwa uwezo wake ni sawa tofaut ni idadi ya engine au ata uwezo wake pia tofaut
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.