Recent content by Msanze Swed

  1. M

    Ufisadi wa kutisha jiji la Mwanza,mbunge wa CHADEMA ndiye hatari zaidi

    Wewe Chagulani ni ccm sasa ulikua wapi siku zote mpaka leo ndio unajitokeza kuyasema haya? Dogo nakwambia unatumika vibaya sana na jaribu kuwaangalia wana siasa waliotumiwa na ccm leo wana hali gani? Watakutumia mwisho wa siku wanakuona kama karai baada ya ujenzi. Jaribu kukumbuka siku moja...
  2. M

    Samwel Sitta: Sina muda wa kulumbana na UKAWA

    Mbona hakuna watu au dau lilikua dogo? Samweli 6 kajihujum mwenyewe
  3. M

    Alia hadharani hakupiga kura ya Ndio katika Katiba

    Na bado tutajua mambo mengi tu kuhusu bmk
  4. M

    Picha na Maelezo: Mkutano wa CHADEMA Arusha - Tar 08.10.2014

    Picha za matukio nimuhim kamanda
  5. M

    Renatus Pamba wa CHADEMA kumvaa Festus Limbu wa CCM

    Nilikua jimbo la Buchosa kwa Tizeba na wao wanamkabizi jimbo Martin kaswahili jimbo
  6. M

    Yaliyojiri: Siku ya Walimu Kitaifa, Bukoba - Kagera, Oktoba 5, 2014

    Hakuna bango la kupinga waraka wa wasaka tonge waliokua kule Bmk
  7. M

    Makonda na political boost toka kwa Sitta

    Nani awakilishwe na shoga
  8. M

    Majina ya HAPANA yataandikwa kwa rakili za chuma mioyoni mwa Watanzania

    Sijaelewa maana naona Samweli6 anasema mambo yanaenda sawa sasa kweli hiyo 2/3 ndio jusema wataupata kweli?
  9. M

    CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

    Hali hiyo imejitokeza mkutano ulipomalizika ndio wanachama na wapenzi wa chadema walipoingia barabarani na kuanza maandamano huku wakiimba nyimbo za chama, Na kusukuma gari walilopanda viongozi wa chama. Na polisi wakiwasindikiza,
  10. M

    CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

    Polisi ndio waanzisha fujo wakubwa sasa sijui nani aliwaita pale
  11. M

    CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

    Hali hiyo imejitokeza mkutano ulipomalizika ndio wanachama na wapenzi wa chadema walipoingia barabarani na kuanza maandamano huku wakiimba nyimbo za chama, Na kusukuma gari walilopanda viongozi wa chama. Na polisi wakiwasindikiza,
  12. M

    Makao Makuu CHADEMA Yazungukwa na Polisi

    Picha za matukio tafadhali
  13. M

    Peter Msigwa yuko star tv

    Anaongelea nini hasa
Back
Top Bottom