Wewe Chagulani ni ccm sasa ulikua wapi siku zote mpaka leo ndio unajitokeza kuyasema haya? Dogo nakwambia unatumika vibaya sana na jaribu kuwaangalia wana siasa waliotumiwa na ccm leo wana hali gani? Watakutumia mwisho wa siku wanakuona kama karai baada ya ujenzi. Jaribu kukumbuka siku moja...
Hali hiyo imejitokeza mkutano ulipomalizika ndio wanachama na wapenzi wa chadema walipoingia barabarani na kuanza maandamano huku wakiimba nyimbo za chama, Na kusukuma gari walilopanda viongozi wa chama. Na polisi wakiwasindikiza,
Hali hiyo imejitokeza mkutano ulipomalizika ndio wanachama na wapenzi wa chadema walipoingia barabarani na kuanza maandamano huku wakiimba nyimbo za chama, Na kusukuma gari walilopanda viongozi wa chama. Na polisi wakiwasindikiza,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.