Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,925
Wana JF
Heshima yenu .
Mimi nimeona kundi la Sitta , Mwakyembe na matumizi ya vijana wao kuelekea uchaguzi mkuu. Mchumia tumbo Makonda hatimaye kapewa a really kick kwenye baraza la Katiba vya kutosha na ni wazi kabisa Sitta did all he could kumpa kick huyu kijana wa kundi lao kuonekana zaidi . Haya ndiyo niliyo au wewe unasemaje ?
Makonda alisema anawakilisha vijana wa Tanzania , je wadau mnao jitambua ni kweli Makonda alikuwa anawawakilisha had katia kura ?
Heshima yenu .
Mimi nimeona kundi la Sitta , Mwakyembe na matumizi ya vijana wao kuelekea uchaguzi mkuu. Mchumia tumbo Makonda hatimaye kapewa a really kick kwenye baraza la Katiba vya kutosha na ni wazi kabisa Sitta did all he could kumpa kick huyu kijana wa kundi lao kuonekana zaidi . Haya ndiyo niliyo au wewe unasemaje ?
Makonda alisema anawakilisha vijana wa Tanzania , je wadau mnao jitambua ni kweli Makonda alikuwa anawawakilisha had katia kura ?