Recent content by Msandawe Halisi

  1. Msandawe Halisi

    Nilibambikwa mtoto miaka 20 iliyopita

    Hapana, huyu ni mtoto wangu sababu anatumia ubini wangu, baba wa mtoto kimoyoni anajua ni mtoto wake pamoja na jamii ya mke wangu. Mtoto alizaliwa tayari tupo kwenye ndoa Mkuu inaitaji moyo na kutuliza akili sana hasa pale unapokumbuka jinsi ulivyo iudumia mimba kwa kujito na huruma kubwa kwa...
  2. Msandawe Halisi

    Nilibambikwa mtoto miaka 20 iliyopita

    Mimi na mke wangu ni maji ya kunde, mtoto alizaliwa mweupe sana. Mimi binafsi nilisamehe kitambo ila nikasema ipo siku Mungu ataweka ukweli hadharani, Siku hiyo ikifika ndipo nitamuuliza mke wangu, Nashukuru pia familia yangu ya karibu hawana mambo ya ajabu laiti wangekuwa watu wa ajabu...
  3. Msandawe Halisi

    Nilibambikwa mtoto miaka 20 iliyopita

    Nilimuoa akiwa mjamzito, siku ya yeye kupata ujauzito tulipanga kalenda tukafanya, Mtoto pia alizaliwa around siku ambazo alipaswa kuzaliwa, Maswali niliyojiuliza, je alifanya na mimi then akafanya na mzazi wa mtoto around danger period au tayari alikuwa ameshapata mimba?Je alifanya kusudi...
  4. Msandawe Halisi

    Nilibambikwa mtoto miaka 20 iliyopita

    Yawezekana anajua kwa sababu baba halisi ni mwanaume ambaye anatoka sehemu moja na mama yake ambapo ndipo makazi ya bibi na babu yake mzaa mama
  5. Msandawe Halisi

    Nilibambikwa mtoto miaka 20 iliyopita

    By the way nilimpenda sana toka akiwa mchanga, Mpaka mama yake analitambua hilo, Kwa uvumilivu wangu, tumepiga hatua sana za kimaendeleo na mke wangu, Naamini ningeanzisha sekeseke leo tusingekuwa hapa
  6. Msandawe Halisi

    Nilibambikwa mtoto miaka 20 iliyopita

    Ni mtoto ambaye alizaliwa kwenye ndoa. Nilihisi mapema toka siku ambayo amezaliwa, ila sikufanya chochote. Mtoto alizaliwa wa kike na ndio uzao wetu wa kwanza. Ukweli mtoto hakufanana na mimi kabisa wala mama yake. Nimemgundua baba wa mtoto wangu mwaka huu, kwa kweli wamefanana copy and...
  7. Msandawe Halisi

    Bado kutembea kijoti tu sasa

    Magufuli mtambo, tena mtambo kweli kweli
  8. Msandawe Halisi

    Rais Kikwete akabidhi Polisi Magari 399 mapya kati ya 777 leo Kurasini jijini Dar es Salaam

    Kuna uwezekano mkubwa kibano cha Lowassa kinampelekesha puta kuliko maelezo. Kikwete amechanganyikiwa, naamini hivyo Angekuwa yupo kwenye normal mood asing'e zindua magari mapya ya Police End of the week uchaguzi. Jumuia zote za kitaifa na kimataifa macho yote yapo hapa Mbaya zaidi katika...
  9. Msandawe Halisi

    Mwenyekiti wa NLD na Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Dr. Emmanuel Makaidi azikwa makaburi ya Sinza

    Kikwete bigwa wa kuzika mpaka wasanii leo ameshidwa kumzika mwenyekiti mwenzake. Kweli binadamu tumejificha kwa ngozi ya kondoo kumbe ni machui
  10. Msandawe Halisi

    Rais Kikwete akabidhi Polisi Magari 399 mapya kati ya 777 leo Kurasini jijini Dar es Salaam

    Upumbavu wa CCM ndio huu Hospital hazina ambulance Shule hazina madawati Mabadiliko lazima Garama zote hizo, sababu kuu ni kubaka democracy.
  11. Msandawe Halisi

    UKAWA yatangaza kituo chake cha kutolea habari rasmi za uchaguzi mkuu 2015

    Kwani sisi mang'ati barabaigi hatuna damu????
  12. Msandawe Halisi

    UKAWA yatangaza kituo chake cha kutolea habari rasmi za uchaguzi mkuu 2015

    Mtupe majumuisho ya matokeo hapo hapo, huku tukisubiri tume itusomee mshindi.
  13. Msandawe Halisi

    UKAWA yatangaza kituo chake cha kutolea habari rasmi za uchaguzi mkuu 2015

    Safi sana!! Mwaka huu ni mwaka mabadiliko.
  14. Msandawe Halisi

    Lowassa will never win says South Africa

    Huyu jamaa ni mtambo!!
Back
Top Bottom