Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 1,825
- 2,425
Angalia hiyo link na hiyo taarifa ya ni ya tarehe 20/10
Angalia hiyo link na hiyo taarifa ya ni ya tarehe 20/10
Angalia hiyo link na hiyo taarifa ya ni ya tarehe 20/10
Hiyo ni habari ya saa ngapi TBC?
Msamehe bure tu
Kwa hiyo hii taharifa ni ya leo
AZAM two wamekatisha.....camera man alikuwa anaonyesha wanajeshi wote waliohuzuria......sijamuona huyo top manyota wetu.
Mkuu Japkas inakuwaje Mkuu wa Majeshi anaongelea upatikanaji wa maji katika kambi ya Ngerengere wakati shughuli iliyopo ni uzinduzi wa kiwanja cha ndege? :thinking:
Kuwa muungwana jibu swali. Mbona CDF anaongelea maji et al na sio uwanja. Tukisema na file video imeunganishwa na live utakataa?VP umefuatilia taarifa ya habari kwenye chombo unachokiamini ITV na kupata uhakika?
Kuwa muungwana jibu swali. Mbona CDF anaongelea maji et al na sio uwanja. Tukisema na file video imeunganishwa na live utakataa?
Kuwa muungwana jibu swali. Mbona CDF anaongelea maji et al na sio uwanja. Tukisema na file video imeunganishwa na live utakataa?
ulitaka aongelee nini juu ya uwanja wakati mkuu wa anga ndio kalizungumzia? Mwambie Ben wazee wa kazi wanamtafutaKuwa muungwana jibu swali. Mbona CDF anaongelea maji et al na sio uwanja. Tukisema na file video imeunganishwa na live utakataa?