Kwa hakika, na bila mashaka, uongozi wa Rais Samia umeonesha ushupavu. Wakati viongozi waoga huwaogopa wapinzani wao wa kisiasa, Rais Samia, bila woga, anawaweka karibu.
Tangu mfumo wa vyama vingi uanze, ni Rais Kikwete ndiye aliyekuwa anashikilia rekodi ya kukutana na viongozi wa vyama vya...