Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,293
- 283,241
Kila ubaya ni lazima ulipwe
Kila ubaya ni lazima ulipwe
Asante sana. Nime-mis-pell. Ni kihoro na siyo kiroho.Kwa muktadha huo; Kiroho = kihoro
MBELE ya Sheria mambo mengine Huwa ni magumu sana kuyaprove japokuwa yote yaliyokuwa yakisemwa na Msiba juu ya wote aliokuwa akiwatuhumu Yalikuwa na ukweli Kwa zaidi ya 90%.UKWELI wasipomchukulia HATUA MUSIBA itakuwa ni kuichezea Mahakama na Wote Waliohusika mpaka HUKUMU IKATOLEWA huyu MUSIBA Lazima ATEKELEZE ADHABU aliyopewa ili iwe FUNDISHO kwa WAJINGA na WAPUMBAVU wa AINA yake.
Shangazi FATUMA na Mzee MEMBE kakazeni HUKUMU
Hana ujasiri wa kuonekana hadharani tena amepauka na kuchoka kama choo cha magunia vile.Musiba aitishe press conference atubu na kuwaomba wahanga wake wote msamaha.
Pia aseme nani alikuwa anamfadhili.
Wewe wala hujui kinachoendelea nyamaza tu. Lissu alivyoanza kumtukana magufuli kwamba nchi hii haijawahi kua na rais wa ovyo kama yeye ulifikiri kamtukana yeye tu au wote tuliyomchagua kwa kura zetu? Na je hakukitukana chama cha ccm kilichomsimamisha kama mgombea?
Magufuli binafsi katukanwa sana na vikaragosi nyie wakati mwenyewe hajibu kitu na halali kwa kufikiria nini kingine afanye kwa nchi hii. Kama hujui ndio sababu ya wazalendo kama msiba kujilipua kumtetea au kujibu yale binafsi jpm alikua anafanyiwa wala hajibu.
Ingekua magufuli ni mtu wa hamaki na dikteta kama watu kama wewe mlivyomuita magereza yangefurika sio hii mnamuhesabia tena bila ushahidi ooh ben saanane ooh lissu kavunjwa mguu.
Pumbafu fisadi wahed nyie mliyomchukia na mnaomchukia jpm kwa kuinyosha nchi hii kutoka mikononi mwa wahuni.
Saa hizi mumechanganyikiwa baada ya kumsifia sana mama bado hamna uhakika kama ni mtu wenu au la.
Mtakoma tu.
Mchungaji Msigwa aliomba radhi akasamehewa.Huyu baradhuli hajaomba radhi!Mbona Kanali mstaafu Kinana alimsamehe Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema Mchungaji Msigwa kwa Uzushi aliomzushia
Bwashee uwe na Kiasi!
Angalia kiumbe huyu! Ndio maana nasema kumuacha Musiba bila hatua kuchukuliwa ilihali ni hukumu halali ya mahakama ni makosa.Wewe wala hujui kinachoendelea nyamaza tu. Lissu alivyoanza kumtukana magufuli kwamba nchi hii haijawahi kua na rais wa ovyo kama yeye ulifikiri kamtukana yeye tu au wote tuliyomchagua kwa kura zetu? Na je hakukitukana chama cha ccm kilichomsimamisha kama mgombea?
Magufuli binafsi katukanwa sana na vikaragosi nyie wakati mwenyewe hajibu kitu na halali kwa kufikiria nini kingine afanye kwa nchi hii. Kama hujui ndio sababu ya wazalendo kama msiba kujilipua kumtetea au kujibu yale binafsi jpm alikua anafanyiwa wala hajibu.
Ingekua magufuli ni mtu wa hamaki na dikteta kama watu kama wewe mlivyomuita magereza yangefurika sio hii mnamuhesabia tena bila ushahidi ooh ben saanane ooh lissu kavunjwa mguu.
Pumbafu fisadi wahed nyie mliyomchukia na mnaomchukia jpm kwa kuinyosha nchi hii kutoka mikononi mwa wahuni.
Saa hizi mumechanganyikiwa baada ya kumsifia sana mama bado hamna uhakika kama ni mtu wenu au la.
Mtakoma tu.
Na ni kuwa mchungaji Msigwa makosa yake yalikuwa kutoa taarifa potofu sio kama ya Msigwa.Mchungaji Msigwa aliomba radhi akasamehewa.Huyu baradhuli hajaomba radhi!