Recent content by Msamala

  1. Msamala

    Baada ya Hotuba ya Rais Samia kuwakoromea Wazungu, Waafrika waunga mkono, wasema Afrika imeanza kuamka, wampongeza Rais

    Ujinga tu umeungaunga habari na washkaji zangu kibao wa Lumumba wakakusapoti
  2. Msamala

    Vyombo vya habari vya kimataifa vyatahadharisha kuwa Tanzania yaweza kurudi kwenye uvunjifu wa haki na uhuru wa kujieleza

    Jamani Chura kiziwi hana Cha kupoteza yeye tayari ni mzee wakati wowote anaaga ameshatengenezea wanawe n ndg zake utajiri mkubwa Sana
  3. Msamala

    Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

    Hana Cha kupoteza UMRI wake mkubwa na amesha watengenezea watoto wake pesa za kula kwa maisha yao yote
  4. Msamala

    Rais Samia aidhinisha Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote, sasa ni Sheria rasmi

    K Kwa andiko hili unaamini kuwa utapewa bure siyo
  5. Msamala

    Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

    Mimi ni Wamrengo wa kushoto kiasili. Huyu chongolo ni mtu mwema Sana ni mtu haswa na naamini hapendi makandokando
  6. Msamala

    Tuache utani TTCL hawako serious kwenye biashara ya internet

    Hata mtandao wake Usiku Ni tatizo simu hazitoki
  7. Msamala

    Dkt. Hussein Mwinyi, ateuliwa na ZEC kugombea Urais wa Zanzibar

    Hawezi kushinda dalili si nzuri kwa kweli.
  8. Msamala

    Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

    Hapana Wala hajajichanganya anajuwa kuwa Sheria ilianzisha Jeshi la mgambo na mgambo pamoja na wastahafu wa majeshi mengine wakaitwa Jeshi la Akiba lkn wote walipohitajika kutekeleza majukumu yao hawakuwajeneralized, walicategorised kulingana na majeshi yao. Mf wa mstahafu wa jwtz, polisi...
  9. Msamala

    Rais Magufuli ashuhudia makabidhiano ya Dhahabu Kg 35 iliyokamatwa nchini Kenya

    Sas Sasa lazima tutafute publicity swala ni kutengeneza story Kwa lazima.
  10. Msamala

    Membe ni mbaguzi. Mla nyama za watu. Hafai katika uongozi wa nchi

    "Aisee peleka huu mzigo halafu baadaye unirudishie ili tutengeneze story au unasemaje mwenzangu"?
  11. Msamala

    Mpaka sasa CCM imepasuka, inasubiri ipasuke zaidi tu

    Bro Bro haikuwahi kufikia hapa ilipo
  12. Msamala

    Mpaka sasa CCM imepasuka, inasubiri ipasuke zaidi tu

    Ni suala la muda tu
Back
Top Bottom