Tuwapongeze wote walioudhuria harambee hiyo nakufanikisha kuchangia kiwango iko, ili waweze kuiokoa elimu ya Tanzania kwa kuhakikisha shule zote za msingi Tanzania, zinapata madawati yakukidhi haja na tija. hongereni sana.
Oscar kusekwa jela miaka mitano, na miaka mitatu ya kifungo cha nje, Je kwanini Lulu wa bongo movies , wasiwekwe jela miaka mia nane?? koz tunapoelekea anaenda kumpiga tena JB wa bongo movies kwenye Tendegu la sofa, alafuuu yatakujaaaa yaleyalee ya brother Kanumba tunaanza kujutaaa uku mtu...
Anzisha uonee kama hutowekewa vikwazo kama Arabic states juu ya marikaniii cyooo tz wewee, natoka Tanzania aka tz bongo aka nchii iliyojaa viongozii wenye cv za uongo aka aslimia sabini wananchi ni maskini aka kaa chini fanya tathmini aka nambie unachokionaa niini????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.