Taitizo kubwa huwa hufuatilii bunge,unajua kuwa wabunge hupeleka maswali kwanza ndipo mda ukifika wapewe nafasi ya kuulza,wapinzani mwaswali yao lazima yajadiliwe kwanza na magamba ccm na ndipo nafasi zitolewe,,kama unaakili malzia kufikili..sugu ametoa michango mingi sana na sio sawa na wabunge...