Nchi hii watu waoongoza kwa unafki
1) CCM
2)Walokole
Mkuu tuliza akili muombe Mungu akuongoze
Ila hawa wanawake co wa kucheka nao kila mda ndan ya nyumba, wewe ni mwanaume na ndo una maamuz ya mwsho
Kuna kajamaa humu MMU kalisema eti katapeleka kilio kwa kina binti cha ajab mpk Leo hajaleta mrejesho
Nyie wanaume wa JF ni vigeugeu [emoji57][emoji57][emoji57]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.