Nyahenge@askudanganye mtu et! Uchomoe halafu urudishe utachomoa utachomeka zaid ya mara 10 lakn hautaweza kufanikiwa USB CABLE ni nzima virus ndio wame block hyo external ntajarbu kukutumia
Kuna cd flan inaitwa BOOT CD hyo inasaidia inaonekana uliweka kwenye computer yenye ant virus avast inablock virus sasa wakati umeweka kwenye hyo computer ikablock unachotakiwa kufanya tafuta hyo cd na iweke kwenye computer halafu restart ukisharestart utaona file zime hidden na huwezi...
Hii nchi walishaona wote ni vichwa vya wendawazimu siyo hvyo kitakacho kuja kuwakuta ni kuwa wapinzani wanatuita chapati et "watanzania ni sawa na chapati"najua tutahiva tu lakn watakiona cha motto na mawizira wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.