msaada>>> external hard disk yangu inagoma kufunguka

Kalunguine

JF-Expert Member
Jul 27, 2010
2,543
134
wadau naomba msaada wenu, nina hard disk ya laptop ninayoitumia kama external hard disk drive ambayo ina kila kitu changu (250 gb full):A S-confused1:. imenishtua inapogoma kufunguka japo kwenye tool bar inapop kuwa iko already installed and ready to use lakini nikifungua my computer haionekani, nimejaribu kwa computer zaidi ya moja zenye windows 7 na ubuntu bila mafanikio. naombeni msaada nifanyeje ili niweze kuokoa data zangu. Asanteni
 
Sometimes usb ya hiyo hd inakuwa na tatizo nilishawahi kuexperience the same problem,jaribu kutumia usb nyingine then nipe jibu
 
wadau naomba msaada wenu, nina hard disk ya laptop ninayoitumia kama external hard disk drive ambayo ina kila kitu changu (250 gb full):A S-confused1:. imenishtua inapogoma kufunguka japo kwenye tool bar inapop kuwa iko already installed and ready to use lakini nikifungua my computer haionekani, nimejaribu kwa computer zaidi ya moja zenye windows 7 na ubuntu bila mafanikio. naombeni msaada nifanyeje ili niweze kuokoa data zangu. Asanteni

Fanya kama Mkare_wenu alivyosema lakini pia inawezekana elecronics za hiyo case ya external drive zinamatatizo, jaribu kutafuta case nyingine uone kama ita mount.
 
kama kuopen kwennye my computer ndio inagoma check kama kuna Autorun virus cuz
autorun anaweza kublock hdd kuona kama kuna autorun fanya hivi Click Start then "RUN"
type "CMD" then CMD itaopen type cd.. then press "enter" then cd.. tena na upress "Enter"
Itabakia C:\then type Pushd then select ya Vulome If D:\ or E: for example Pushd D: then
Press "Enter" alafu type dir /a/w mafaili yote yaliyo kwenye iyo Volume yataonekana
angalia kama kuna file limeandikwa Autorun.inf kama lipo basi type attrib -r -s -h autorun.inf
then type del autorun.inf hapo utakuwa umelifuta ilofaili au unaweza pia ukafungua any file
for example My Documents
then utaclick kwenye Folders hapo kwenye Standard Button halafu zita expand Chagua kitu
unachotaka kufungua
 
Cable nzima,maana sometimes ikiwa chenga inakuwa inasoma na kupotea mara kwa mara as a results huwezi iona kabisa
 
Kuna cd flan inaitwa BOOT CD hyo inasaidia inaonekana uliweka kwenye computer yenye ant virus avast inablock virus sasa wakati umeweka kwenye hyo computer ikablock unachotakiwa kufanya tafuta hyo cd na iweke kwenye computer halafu restart ukisharestart utaona file zime hidden na huwezi kuzifungua bila kutumia hyo cd kama hauna nicheck kwa namba hyo 0764853200 au 0785215568
 
mkare thanks for your good advice ntafanya hivyo. asante sana ntakupa feedback
 
asante chamoto ntafanya kama mlivyonielekeza, nashukuru sana chamoto
 
khalfani nashukuru sana kwa mchango wako, ni wa muhimu sana kwangu na nitalifanyia kazi na kukupa feedback. nashukuru sana ndugu yangu
 
junior80 thanks for the idea ntalifanyia kazi. nakushukuru sana ndugu yangu
 
nashukuru kwa hilo wazo ndugu yangu sikua nalo kabisa, ni kweli kwamba sina cd hiyo ntakupigia soon. thanks for your concern msadey
 
Nyahenge@askudanganye mtu et! Uchomoe halafu urudishe utachomoa utachomeka zaid ya mara 10 lakn hautaweza kufanikiwa USB CABLE ni nzima virus ndio wame block hyo external ntajarbu kukutumia
 
.....jamani ...! computer yangu ina niletea meseji inayo sema (your computer is hacked) ...nifanyeje...!
 
Back
Top Bottom