Hivi kipindi Magufuli anafungua bunge, wabunge wa Jecha walikuwapo? Kama walikuwapo ina maana walilamba mshiko Wa kile kikao? Baada ya "maamuzi" ya Jecha ina maana tunaweza wadai chenji yetu kwasababu hawakuwa halali? Me am confused!!!!
IKULU YAKANUSHA MSHAHARA WA MILIONI MIA TATU WA RAIS WA TANZANIA ULIOTOLEWA NA GAZETI LA KILA SIKU. ~ Blogu ya Wananchi
Ikulu yacharukia uzushi wa gazetiHabari Leo.
SERIKALI imekanusha taarifa ya gazeti la Mwananchi, inayosema kuwa Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa marais watano wa Afrika...
Kuna bendi za muziki uwa zinaanzishwa wakati karibia krismasi then baada ya mwaka mpya zinakufa. Kwa ufupi zinaitwa bendi za msimu au matamasha=ADC, ACT et al.
It is a shame for em politicians, kagasheki et al. I think it is a joke. Those guys/politicians shouldn't be celebrating for something like that after all the money they have stolen. I think it is a shame.It is a bad mindset, to be happy about those kinda of things which make them dependants on...
Sijui ni singo gani inafuata, maana bendi yetu CCM,hawachuji, hizi ni baadhi ya singo za hivi karibuni,kadi 2 za Dr Slaa,mwangosi(RIP), nani achinje,gesi ya ntwara,matokeo ya form 4,kibanda(pole sana), gaidi Lwakatare. Sijui ijayo ni ipi?
STIDE.....sio swala la mbwembwe kama unavyodhani.Hahahaha, yaleyaleee,Umeanza kwa kuponda "kamombo" kuwa sio kwalifikasheni ya "public post". Watu tunachokikosa Bukoba au Tanzania kwa ujumla ni kuwasiliana na wananchi na kuwa "accountable", lakini wewe na mimi tunajua kwamba siasa za visasi...
So far so good sina political party kwasababu ya kuogopa mizengwe na kuwekwa mfukoni.I was born and raised there,went to school there.Originally from Buyekera.I have seen all of them come since I was a kid from Rwangisa,Katalaiya,Rwakatale and now Kagasheki. They all have the same fate except...
Baada ya kutafakari na kuona siasa (za maji taka-kama CCM wanavyoziita) ambazo si za kuleta maendeleo bali habari za mipasho na "kumtafuta mchawi" kati ya Kagasheki MP na Mayor Amani. Na kwakuwa siasa zao zime-base kwenye kuwania kiti cha U-MP na wala hakuna lolote la maana zaidi ya kutaka...
Kagasheki amgwaya Dk. Slaa
Akataa miradi ya meya akidai inanyanyasa wananchi
na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, ambaye pia na Mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki (CCM), ameapa kuwa hayuko tayari kusutwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod...
Ukifuatilia sana siasa za bongo unaweza kuwa chizi, namuhurumia sana Dr.Slaa. By the time hé becomes a President atakuwa ashapata brain atrophy atakayofuatiwa na senile dementia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.