Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kama MSOMALI Kinana aliingia jeshini, na sasa amekuwa Katibu wa CCM itakuwa huyu Mhaya wa Uganda?
Utasemaje si raia wakati tayari umesema ameishauomba na kukubaliwa ndio maana hata tume ikamruhusu kugombea baada ya kukosa pingamizi la kupinga sifa zake kama mgombea wa udiwani...............
Inadaiwa kuwa Meya huyu ni raia wa Uganda aliyetoroka nchini kwake akiwa na umri wa mika sita na ukulia Tanzania na kwa muda wote huo hakuwahi kuomba uraia ambapo alikuja kufanya hivyo alipotafuta madaraka ya udiwani.
...........
Kama anayosema Kagesheki ni ya kweli, basi, yeye Kagesheki anatakiwa ajiuzulu mara moja! Anatangaza kwa watanzania wote kwamba amekuwa akipindisha sheria za nchi kwa sababu binafsi, na kama si kutofutiana na huyo Meya mambo yangebakia chini ya carpet! Sasa tunaanza kupata mwanga kwanini wahamiaji haramu hawaishi nchini? Kumbe wanapata support toka kwa viongozi!
Kumbe CCM haifanyagi screening ya wawakilishi wake?
Ilikuwaje mhamiaji haramu akapata post hiyo kubwa?
Katika hali ya kushangaza na isiyotarajiwa, MEYA wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera si mtanzania.
Hili limewekwa wazi na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ambaye kwa sasa ni waziri wa mali asili na Utalii na mbunge wa Bukoba Mjini, Bwana Hamisi Kagasheki kwenye uwanja wa mashujaa siku ya Jumamosi tarehe 24/11/2012.
Waziri Kagasheki aliweka bayana kuwa akiwa waziri anayehusika na uhamiaji alimnyima uraia na hatai ya kusafiria na hata watoto wake walipoomba hati za kusafiria na japo hawastahili kupewa kwa kuwa wao nao si raia kwa kuwa baba yao si raia aliamua kuziweka sheria pembeni na kuwapa hati hizo.
Inadaiwa kuwa Meya huyu ni raia wa Uganda aliyetoroka nchini kwake akiwa na umri wa mika sita na ukulia Tanzania na kwa muda wote huo hakuwahi kuomba uraia ambapo alikuja kufanya hivyo alipotafuta madaraka ya udiwani.
Kutofautiana kwa Meya wa Bukoba na Mbunge wa Jimbo hilo kunatokana na ukweli kuwa meya huyu anadaiwa kuuweka ubunge wa Kagasheki matatani kwa yeye kuutaka pia huku kagasheki akilewa madaraka anadai hakuna jambo lolote linaloewa kupitishwa na madiwani wa halmashauri bila yeye kukubali. Kagasheki anajisahau kuwa yeye kama mbunge ni diwani pia na hivyo kama kolamu ya vikao vya halmashauri imetimia, maamuzi ynaweza kupitishwa bila yeye kuwepo.
Kutofautiana huku ndio kulipelekea Waziri Hamisi kuanika ukweli kuwa yeye nafahamu fika kuwa meya huyu si raia wa Tanzaia.
Kumbe CCM haifanyagi screening ya wawakilishi wake?
Ilikuwaje mhamiaji haramu akapata post hiyo kubwa?
Kama MSOMALI Kinana aliingia jeshini, na sasa amekuwa Katibu wa CCM itakuwa huyu Mhaya wa Uganda?
kweli Nyani haoni kundule.............Wahaya wote si watanzania,period
Wamakonde wote si watanzania,period,Wamasai wote si watanzania,period,Warombo wote si watanzania,period.Wahaya wote si watanzania,period