Recent content by mrxho

  1. mrxho

    Mgomo wa walimu wanukia kuanzia March 01, 2017

    Na wajaribu timua ote hapa kazitu
  2. mrxho

    Bashe: TCU na wizara ya elimu inachokifanya ni zaidi ya madawa ya kulevya

    Mi nishachoka na hii nnchi imekua ntarahambwe
  3. mrxho

    Bashe: TCU na wizara ya elimu inachokifanya ni zaidi ya madawa ya kulevya

    ww naye jipu hata kama ni boss wako mwambie hakuna afanyacho over
  4. mrxho

    Bashe: TCU na wizara ya elimu inachokifanya ni zaidi ya madawa ya kulevya

    Nakumbuka huyu nikutoka kwa wale wahanga wa mafuriko huwenda analipiza kisasi jumlisha "katerero" twafa
  5. mrxho

    Bashe: TCU na wizara ya elimu inachokifanya ni zaidi ya madawa ya kulevya

    hahahahaha!!! atafutiwe kazi nyengine iliyokua under size
  6. mrxho

    Magereza wanavyotesa watuhumiwa wa ugaidi gereza la Segerea

    Anaye jua naomba anisaidie, muungano no maridhiano baina ya pande 2 kama pande moja haitaki kwa nini ilazimishwe au kuna siri gani behind? kwani Tanganyika haiwezi ishila Zanzibar? mbona Sudani wametengana maisha yanaendela hiyo sababu ndo nataka kujua!
  7. mrxho

    Wanasayansi tunaamini Mungu alikuwepo lakini kwa sasa hayupo

    Mtoa Uzi upimwe akili by this fact:- amka asubuhi tizama juu bila shaka utaona mbingu ilolembwa kwa ranging zaid ya moja nanyota zake ziking'aa je kunasiku uliona mtu akizipaka rangi? ila majengo yetu huitaji rangi ,kunanguzo yoyote iloshikilia? hakuna ametandika ardhi ambayo hutoa vyakula...
  8. mrxho

    Pius Msekwa: Jela yamnukia Makonda

    Msekwa naye jipuuuuu!!!
  9. mrxho

    Gazeti Jamhuri: Ridhiwani ndie mtoto wa kigogo kwenye list ya tatu; sasa nae kuchunguzwa

    Nikupoteza muda tu tushuhurikie viongozi wetu walio kamatwa kukamatwa Ridhiwani kutatusaidia nn wakati chama chetu kinakufa sibora akamatwe Lipumba anaye ungana na CCM kuua upinzani vipi Lubuva Jecha tuache ushamba tuangalie tutatoka vipi kwenye hali hii ngumu
  10. mrxho

    Gazeti Jamhuri: Ridhiwani ndie mtoto wa kigogo kwenye list ya tatu; sasa nae kuchunguzwa

    Povu la nini utakufa na presha wenzio wanajuana hawa tufanye yetu mkuu...
  11. mrxho

    Katibu gani huyu asiyeendana na kasi ya siasa!!

    Ndo kwanza gia number one sijui itakuaje huko mbele tuta mkumbuka BABA RIDH asante sana mtoto kalilia nyembe......
  12. mrxho

    Wawili wapoteza maisha kwa kukosa dawa za kulevya

    Kazi nzuri kufa mbili zaliwa 200 hapana shida
  13. mrxho

    Msumbiji: Magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) yawarudisha waliofurushwa nchini humo

    Kitu bombadia wangekaa wenyewe, kilicho baki timua na wào wote wanaoishi tz warudi kwao ndani ya siku tatu tu
  14. mrxho

    Barabara ya Tandale imekuwa kero

    Barabara ya Tandale imekua kero kubwa na aibu kwa wilaya kama hii (Kinondoni) kwani imechoka mashimo chungu nzima. Magari yanahama ruti shida kubwa kwenye usafiri, ukiona marekebisho inajazwa udongo. RC uko wapi na kama kuna ajuae zaidi atujuze wakuu.
  15. mrxho

    Zitto Kabwe ziarani nchini Kenya

    Namkubali huyu dogo fitna za kisiasa yuko fiti na anajua over
Back
Top Bottom