majanga haya schools nyingi walikuwa hawalipi chakula.
ndo kusema serikali inalipa 20000 ya ada, 10000 ya taaluma na 10000 ya mlinzi tu basi.
ni bora serikali ingegharamia chakula ikawaacha wazazi walipe hyo michango kwani ingekuwa imewasaidia saaana
Naomba wadau mnisaidie kuhusu hii nchi yangu Tanzania, hivi ile taarifa iliyovuma ya Prof Juma Kapuya na yule binti au ndiyo tuseme mwenye pesa habuguziwi au kesi IPO mahakamani au ni vipi.
Naombeni msaada, mimi pia na jamiii nzima nategemea jamiiforums mpo juu tofauti na magazeti yetu ya...
Sisi kwa sisi ni NGO ya nani na kama ni kiongozi WA serikali tumfutie uraia akaishi kwa mashoga wenzake hukoo c hatumtaki, pi nyie watunga sheria wetu kueni kama Uganda
Hyo ni kesi ya ubakaji na sheria zpo wazi na ushahidi upo wazi PGA miaka yke 30,
ILA utackia uchunguz unaendelea then anaenda marekani nae anakufa kama Daudi Balali halaf anazkwa hukohuko
Hii nchi hii uozo mtupu
Nyie watu maaruf hebu tumie fursa vzuri kuwekeza pndi nguvu znapowaishia, jamn inatia uchungu kumuona mzee small alivyo sasa na umaaruf alio nao tumuoombeeni apate nafuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.