Bakhresa na Posta: Msaidie Mzee Small wajameni!

Bakhresa na Posta: Msaidie Mzee Small wajameni!

institution tajwa hapo juu, zimemtumia sana mzee huyu kuzalisha mamilioni ya shilling kwa matangazo yake mazuri ya kuamasisha watu kutumia azam product na posta kiujumla.

Sasa hivi, anaumwa kweli na pesa ya matibabu kwake ni shida sanaaaaa
mzee_small.jpg


pls wakurungezi msaidieni huyu mzee kwani kawatengenezea mipesa kibao

haahaaa mkuu sio kila misaada wanaamua wao
mingi ni ua masharti sasa kama huyo wakitoa bila ruhusa utakula viporo milele na kusahau unga wa bakh
 
haahaaa mkuu sio kila misaada wanaamua wao
mingi ni ua masharti sasa kama huyo wakitoa bila ruhusa utakula viporo milele na kusahau unga wa bakh

ili naona kama jibu, la kwanini wameka kimya asante mkuu.
 
institution tajwa hapo juu, zimemtumia sana mzee huyu kuzalisha mamilioni ya shilling kwa matangazo yake mazuri ya kuamasisha watu kutumia azam product na posta kiujumla.

Sasa hivi, anaumwa kweli na pesa ya matibabu kwake ni shida sanaaaaa
mzee_small.jpg


pls wakurungezi msaidieni huyu mzee kwani kawatengenezea mipesa kibao

kweli aisee amechoka na anastahili msaada
 
institution tajwa hapo juu, zimemtumia sana mzee huyu kuzalisha mamilioni ya shilling kwa matangazo yake mazuri ya kuamasisha watu kutumia azam product na posta kiujumla.

Sasa hivi, anaumwa kweli na pesa ya matibabu kwake ni shida sanaaaaa
mzee_small.jpg


pls wakurungezi msaidieni huyu mzee kwani kawatengenezea mipesa kibao

Somo kwa mzee king majuto jua limezama mzee hizo hela unazo pata jiwekee akiba mzee sio kuoa vitoto vidogo vidogo vinakumaliza kimwili na kiuchumi usipokua makini ipo siku utalia kuomba msaada wakati chance unayo sasa hivi jifunze kutoka kwa wazee wenzako mzee kipara(r.i.p) gurumo maalim,mzee small hawa wote wamechezea maisha yao kwa starehe za kipuuzi na sasa wako hoi wanalia lia na misaada.Get well soon mzee small.
 
Nyie watu maaruf hebu tumie fursa vzuri kuwekeza pndi nguvu znapowaishia, jamn inatia uchungu kumuona mzee small alivyo sasa na umaaruf alio nao tumuoombeeni apate nafuu
 
somo kwa mzee king majuto jua limezama mzee hizo hela unazo pata jiwekee akiba mzee sio kuoa vitoto vidogo vidogo vinakumaliza kimwili na kiuchumi usipokua makini ipo siku utalia kuomba msaada wakati chance unayo sasa hivi jifunze kutoka kwa wazee wenzako mzee kipara(r.i.p) gurumo maalim,mzee small hawa wote wamechezea maisha yao kwa starehe za kipuuzi na sasa wako hoi wanalia lia na misaada.get well soon mzee small.
cc mkuu wa kaya
 
Maisha ya Tz kwakweli hayana mpango.bora tuendelee kutumwa huku ughaibuni
 
haahaaa mkuu sio kila misaada wanaamua wao
mingi ni ua masharti sasa kama huyo wakitoa bila ruhusa utakula viporo milele na kusahau unga wa bakh
alitangaza biashara za watu bure?hakuhitaji malipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom