Siongei na mtusi mimi.utakufa kwa kuhoro kutetea mavi(ccm) inahitaji roho kama ya paka..
Siongei na mtusi mimi.utakufa kwa kuhoro kutetea mavi(ccm) inahitaji roho kama ya paka..
Umesahau wala siyo mageuzi ni mapinduzi ya ccm yatawavuruga mpaga bugalika na kuzaliwa upya kwa ccm subili uone.Deo wewe gamba,hizo ndio changes za politics mambo taratibu but mageuzi yako karibu.maana wananchi wamechoka na propaganda zenu magamba.
mimi nilipo hapa nakuzomea.Inawezekaje mtu kuzomewa wakati hayupo?
Taifa linawatu wajinga sana kwani kupanga kufanya vurugu kwenye mikutano ya rais inawapa faida gani huu uongo na vurugu mnazofanya zinawasaidia nini?
jaribuni kufanya siasa za hoja siasa za hoja zimepitwa na wakati ni ushamba watu wazima mnapanga kufanya vurugu halafu bila aibu mnajisifia kweli ujinga hauna majani wewe ungekuwa umeshaota majani.
Inawezekaje mtu kuzomewa wakati hayupo?
hata mumsifie vp hili la kuuza nyumba za serikali mpaka anakufa hawezi kusafishika. Napita seaview sasa hv naziona zilizokuwa nyumba za mawaziri ambazo zinaoteshwa maghorofa na wahindi. inaniuma sana.Magufuli ni jembe hata hachafuki kwa namna yoyote ile ni mtambo na kama atagombea urais wanasiasa wajipange.
Taifa linawatu wajinga sana kwani kupanga kufanya vurugu kwenye mikutano ya rais inawapa faida gani huu uongo na vurugu mnazofanya zinawasaidia nini?
jaribuni kufanya siasa za hoja siasa za hoja zimepitwa na wakati ni ushamba watu wazima mnapanga kufanya vurugu halafu bila aibu mnajisifia kweli ujinga hauna majani wewe ungekuwa umeshaota majani.
Angalizo kwa Wasomaji wa Uzi huu:
Mleta Uzi ni Mwandishi Mwandamizi wa "Kishiri Times" lenye Ofisi yake katika Kitongoji cha Mashigambiti, Kijiji cha Kishiri, Kata ya Igoma, Wilaya ya Nyamagana, Mkoa wa Mwanza.
Hivyo, hata uzi ameuleta kwenu kwa staili ya kishiri-kishiri na ndio maana ameanza heading ya Uzi na neno "Tetesi" na kujaza ----- kwenye uzi wenyewe!
Kwa wale ambao hawafahamu namna ya kufika Kishiri, ziliko ofisi za Kishiri Times, gazeti ambalo Mleta Uzi uliojaa ----- ni Mwandishi Mwandamizi, baadaye kidogo mtapata maelekezo. Poleni!
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
ccm kiboko yenu!peopleeeeeeees
Mgema akisifiwa sana tembo hulitia maji.Magufuli naye kazidi misifa mpaka anaharibu wacha wamzomee