Binafsi, nimefurahishwa na kitendo cha jeshi la police kushiriki kikamilifu katika maombi ya mpendwa wetu lissu pale kwenye viwanja vya sinza siku ya jana. Tunaomba ushirikiano huu uendelee
Kuna utofauti mkubwa kati ya kuipenda nchi yako na kuipenda serikali iliyopo madaraka.
Kuipenda nchi yako ni uzalendo, lakini kuipenda serikali ni itikadi iliyosambamba na siasa za mlengo fulani.
Mtu anae ipenda nchi yake huyu moja kwa moja ni mzalendo, yeye yupo tayari kuipigania nchi yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.