Msaada: Naomba kujulishwa Mazoezi gani mazuri bila kuenda Gym

..hakuna zoezi murua linalohusisha viungo vyote vya mwili kama kumkaza demu....tena umkute demu anayekata viuno kama makonde na makua hilo ni zoezi tosha Na lenye afya sana...kwa wote....
 
Duh hongera zako kiongozi



Ila nyinyi watu wa mazoez mnakera sehem moja tu yaani sionagi faida yenu hata kidogo coz mnaweza kumuona mtu kavamiwa na mateja(anakabwa) halaf chakushangaza bila mshipa wa aibu hamuendi kutoa msaada

Kama vipi ni bora muaache tu coz hayo mapushap yenu hayana msaada kwa jamii
Kwani we unatakaje ss
 
Back
Top Bottom