Push up unapiga set 10 ambapo set ya kwanza unapga 50 ya pili 60 ya tatu 70 ya nne 80 ya tano 90 ya sita 100 kisha ya saba unashuka unapiga 90 ya nane 80 ya tisa 70 ya kumi 60Pushap 50 unazijui au unaziskia tu?
Ikoje hyoBench dip
Lala chali kata mauno.
Nenda chooni Mara kwa Mara ni mazoezi pia
PoapoaSqushing na pshup tosha sana, unapga pshup 20 then squshing 20 ukienda round 3 au 5 daily n vzur.
Mazoezi yapi yanaweza kubadili mwonekano WA umbo lako hasa kwenye kifua,tumbo na mikono.
Bila kwenda gym maana nipo mbali na mji........
Kwani we unatakaje ssDuh hongera zako kiongozi
Ila nyinyi watu wa mazoez mnakera sehem moja tu yaani sionagi faida yenu hata kidogo coz mnaweza kumuona mtu kavamiwa na mateja(anakabwa) halaf chakushangaza bila mshipa wa aibu hamuendi kutoa msaada
Kama vipi ni bora muaache tu coz hayo mapushap yenu hayana msaada kwa jamii
MhPush up unapiga set 10 ambapo set ya kwanza unapga 50 ya pili 60 ya tatu 70 ya nne 80 ya tano 90 ya sita 100 kisha ya saba unashuka unapiga 90 ya nane 80 ya tisa 70 ya kumi 60
Kwanini sio 51 au 49?Pusha up asubuhi piga 50 jioni 50 hapa unatanua kifua na kujaza mikono kumbuka kukata tumbo