Sijawahi kusikia majambazi yanafukia fedha ardhini mpaka alipokuja kusema Kova, halaf hizo bunduki zimeibiwa wiki tu, kwanini ziwe na kutu hivyo kama Zina miaka mitano chini?
Mmmh mkuu, unataka kumuingiza choo cha kike, gharama ya braibun mtoto wa nursery analipa million 9 kwa mwaka, hapo ni baby class. Piga picha secondary... Anyway huwezi jua mfuko wake. Mpeleke St. Monica, ni ya masista mchanganyiko toka kote duniani. Wako vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.