Natafuta shule nzuri Arusha au Moshi

Natafuta shule nzuri Arusha au Moshi

Hakuna shule za hovyo kama za Mastista tena ukute ni wahindi, Mimi ni Mkatoliki na wajua Ubaguzi wanao sana.
 
St jude nayo iko poa
Katika shele zenye viwango vya kimarekani St. Jude inaongoza japo hizo shule ni za bure kwa watoto maskini tu wenye akili safi sidhani kama wanachaji ada ninavyojua hawachaji hata thumni.
 
Kama pesa ipo mpeleke Braibun au
St. Constantine au International School of Moshi katika shule za kimataifa Arusha na Moshi hizi ndio the Leading ila wanaosoma huko ni watoto wa vigogo na wau ubalozini, UN, na kutoka Mataifa mengine ulimwenguni.
Nilienda kwenye visiting day wazazi wamepaki elkopta kama bodaboda na magari ya maana.
 
Jaribu Magnificat Secondary school ni ya master na nimpya inafanya vizuri sana inamazingira safi na niyanidhamu ya hali ya juu.Mtoto wangu yuko hapo form three na form two wote wanafunzi 97 walipata distinction ya GPA 5 to 4.9 ni shule mchanganyiko iko Sanya Juu baada ya visitation
 
Kama pesa ipo mpeleke Braibun au
St. Constantine au International School of Moshi katika shule za kimataifa Arusha na Moshi hizi ndio the Leading ila wanaosoma huko ni watoto wa vigogo na wau ubalozini, UN, na kutoka Mataifa mengine ulimwenguni.
Nilienda kwenye visiting day wazazi wamepaki elkopta kama bodaboda na magari ya maana.
weeeeee weeeeeee International School of nin ?? mkuu hiyo school ada yake ni million 40 kwa mwaka utaweza ? kama wewe ni ndugu yake James Rugemarila sawa mpeleke.
 
Kama pesa ipo mpeleke Braibun au
St. Constantine au International School of Moshi katika shule za kimataifa Arusha na Moshi hizi ndio the Leading ila wanaosoma huko ni watoto wa vigogo na wau ubalozini, UN, na kutoka Mataifa mengine ulimwenguni.
Nilienda kwenye visiting day wazazi wamepaki elkopta kama bodaboda na magari ya maana.
Mmmh mkuu, unataka kumuingiza choo cha kike, gharama ya braibun mtoto wa nursery analipa million 9 kwa mwaka, hapo ni baby class. Piga picha secondary... Anyway huwezi jua mfuko wake. Mpeleke St. Monica, ni ya masista mchanganyiko toka kote duniani. Wako vizuri
 
weeeeee weeeeeee International School of nin ?? mkuu hiyo school ada yake ni million 40 kwa mwaka utaweza ? kama wewe ni ndugu yake James Rugemarila sawa mpeleke.

Mkuu pale inabidi awe rugemalila tu sababu hamna namna ile shule wanasoma watoto ambao wazazi wao hawana mahali pengine pa kuzipeleka pesa zao.
 
Mmmh mkuu, unataka kumuingiza choo cha kike, gharama ya braibun mtoto wa nursery analipa million 9 kwa mwaka, hapo ni baby class. Piga picha secondary... Anyway huwezi jua mfuko wake. Mpeleke St. Monica, ni ya masista mchanganyiko toka kote duniani. Wako vizuri
Pale Braibun wengi ni watoto wa kimarekani na wa ulaya wachache wa kiafrika ma asia ila kama pesa ipo ampeleke tu atapata experience ya mbele.
 
Brabun School Arusha school fees 2015/2016 kuanzia mtt mwenye umri wa miaka 12--.. ni UD DOLLARS 13606
 
Katika shele zenye viwango vya kimarekani St. Jude inaongoza japo hizo shule ni za bure kwa watoto maskini tu wenye akili safi sidhani kama wanachaji ada ninavyojua hawachaji hata thumni.
Kuna wanaolipa ada mkuu siyo wote wako pale kwa ufadhili
 
Wanajamvi, naombeni mnisaidie,

Mtoto wangu wa kike anamaliza darasa la saba mwaka huu. Nisaidieni kupata shule bora. Iwe Arusha au Moshi:

1. Iwe shule yenye kuzingatia maadili
2. Inayofanya vizuri ki academic
3. Ikiwa ya mchepuo wa sayansi ni bora zaidi
4. Napendelea zaidi shule za Catholic.
Usa River Academy-Arusha

Agape Secondary-Marangu
 
Back
Top Bottom