Recent content by mrspst

  1. M

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Mimi nilijifungua mtoto wa pili nikachanika sana na nikashonwa lakini baada ya muda mshono uliachia mpaka sasa sehemu kubwa iko wazi.Nifanyeje niweze kurudi katika hali ya kawaida?
  2. M

    Uhamisho wa watumishi wa Serikali

    Mi pia nasubiria japo kuna mtu wa jikoni kanihakikishia leo kuwa jina langu liko kwenye list itakayotangazwa. So anytime wataweka mtandaoni.
  3. M

    Wanawake wenye ndevu

    Kwa mujibu wa Dr Mwaka wanakuwa na shida ya uzazi, kwamba inawachukua muda kupata ujauzito. Sina hakika lakini.
Back
Top Bottom