FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,064
Kama hamkugombea kwa zile za kwapani au mazivu vipi mgombee kwa hizo ndevu mbili tatu za kidevuni?Tatizo ni kelele asubuhi kugombania shaver.
Kama hamkugombea kwa zile za kwapani au mazivu vipi mgombee kwa hizo ndevu mbili tatu za kidevuni?Tatizo ni kelele asubuhi kugombania shaver.
Wengine za kule wanasuka yeboyebo.Kama hamkugombea kwa zile za kwapani au mazivu vipi mgombee kwa hizo ndevu mbili tatu za kidevuni?
Ni wanaume nusu.. wanakua na marafiki wengi wa kiume.. sauti zao pia za kiume.. wababe.. jeuri.. hawapendi kuolewa..
Am like thisnimepata taarifa kuwa hawawez kuishi kwa kunyanyaswa
Hakuna mwanamke mtamu duniani kama mwenye KithembeHalafu nasikia huwa wana papuchi tamu sana
Wanawake pekee waliojaliwa nyota ya utamu ni wenye KithembeNasikiaga watamu sana hawa viumbe ila sijui ndio conspiracy theories
achana na habari za fore plan clinic....Kwa mujibu wa Dr Mwaka wanakuwa na shida ya uzazi, kwamba inawachukua muda kupata ujauzito. Sina hakika lakini.
those are the best women to haveSasa ni;
Naomba wakuu mnieleweshe kidogo.
Japo ni nadra, lakini wapo wanawake wenye ndevu.
Hii inasababishwa na hormonal imbalance.
Lakini kuna tatizo lolote kuoa mwanamke mwenye ndevu?
Dah sasa mtu ushike lipi teh teh hizi ni theories tu sema kwa sababu unaskia kauli hizi zikisemwa sana na kwa muda mrefu inabidi uamini tuWanawake pekee waliojaliwa nyota ya utamu ni wenye Kithembe
wanawake wa kinyakyusa kindali au wanaotoka mbeya wengi wanazo sijui tatizo ni nin Duuh,
As far as ana REPRODUCTIVE STRUCTURES za kike, anafaa kuoa kabisa, kwakuwa hata hizo ndevu zao haziwagi kaa vichaka kama kwa wanaume.
Vuta mzigo huo ndugu.. Maana nasikiaga ati wanakuwaga na akili za maisha sanaaa !
Zaidi ya asali mkuuHalafu nasikia huwa wana papuchi tamu sana
Kweli mkuu..mi nafaidi tu haha ha haNasikiaga watamu sana hawa viumbe ila sijui ndio conspiracy theories