Recent content by Mrs.Nani

  1. Mrs.Nani

    Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

    hahahaahahaha unafuahia tu kupewa tunda hufikirii madhara atakayopata mtoa tunda??
  2. Mrs.Nani

    Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

    hahahaahahaha unafuahia tu kupewa tunda hufikirii madhara atakayopata mtoa tunda??:A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:
  3. Mrs.Nani

    Hivi spika Anna Makinda hana wigi la aina nyingine?

    Hahahahahahahaha Jamani sio Wigi ni nywele Zake
  4. Mrs.Nani

    Kama ni wewe hapo ingekuwaje??

    Jamaa alikuwa kasafiri akaenda guest house kumpunzika kufika aka amua amtumie masseji mke wake kumbe alikosea namba ika enda kwa mwanamke alie toka kufiwa na mume wake siku mbili zilizo pita yule mwana mke mjane alivyo isoma ile meseji aka zimia ghafla mtoto wake akaja kamkuta mama yake kazimia...
  5. Mrs.Nani

    Nani kugombea urais 2015 Tanzania kupitia CCM?

    Tukiwa tunafanya maandalizi ya kupata Rais 2015 unahisi nani anafaa kati ya hawa kuwa Rais. 1. Edward Lowassa 2. John Pombe Magufuli 3. Wilbroad Slaa 4. Asha Rose Migiro 5. Freeman Mbowe 6.Ibrahim Lipumba 7. January Makamba 8. Bernard Membe 9. Mizengo Peter Pinda 10. Dovutwa Dovutwa
  6. Mrs.Nani

    Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

    Mwanamke mwenye akili timamu hawezi tumia hizo dawa. Me nisipoona mwezi 1 tu naugua kabisa:lol::lol:
  7. Mrs.Nani

    Hello Everyone

    Whats wrong with u Guys?? nyie mlioniambia nimekosea kuingia humu kwani nyie peke yenu ndo mna haki ya kuingia humu??? acheni tabia mbaya kwani wakati nachagua kuingia humu sikujua?? Asanteni Mlionikaribisha Mbarikiwe
  8. Mrs.Nani

    Hello Everyone

    How are u Guys?? Im a new member here Just wanna Say hello.
Back
Top Bottom