Upuuzi mtupu..
Watoe madhara yake wote tujue
Asprin Ukizidisha vidonge vina madhara
unataka kuniambia hii ya kufunga hedhi haina madhara
Inaniudhi sana sababu wale wanawake ambao hawana ujuzi
sana kuhusu haya mambo wanadanganyika sana kwa kweli..
Kila kitu kina madhara , hata maji ukiyanywa sana yana madhara...
Upuuzi mtupu..
Watoe madhara yake wote tujue
Asprin Ukizidisha vidonge vina madhara
unataka kuniambia hii ya kufunga hedhi haina madhara
Inaniudhi sana sababu wale wanawake ambao hawana ujuzi
sana kuhusu haya mambo wanadanganyika sana kwa kweli..
Kila kitu kina madhara , hata maji ukiyanywa sana yana madhara...
hiyo ya kukaa muda mrefu bila kuzaa peke yake ni ma fibrosis kibaaaao, sembuse hii ya kukaa billa kuona 'mwezi' mbona balaa. Halafu we mtambuzi endelea tu kuwachanganya hao 'viumbe', utekelezaji wa maazimio ya beijing bado hata nusu hawajafikia, unawaletea mengine, shauri yako.
Halafu utuombe radhi wanaume, unapodai 'habari njema kwa wanaume' ndo unamaanisha nini hapo? Ngoja nikamtafuta yule sangoma anayebadilisha watu jinsia, afanye mambo!
Hivyo vitakuwa na madhara asee, hiyo hedhi itakuwa inapotelea wapi? Yaan atakaetumia atajuta manake kuna siku atapata hedhi ya miezi yote aliyoizuia isitoke..
Acha tu mama ibu, vitu vingine ni laana ati... Wanapingana na Mungu, sie tunajua kwa nini imekuwepo kwa wanawake tu na sio kwa wanaume?.. Afu mtambuzi anatutaka tuizuie khaaah, hiyo haikubaliki kama Malaria.Dah umeniacha hoi sana.just imagine m2 awe alizuia kwa mwaka mzima
Vinawafaa machangudoa wanaojiuza kila siku, probably na porn actresses we unafanya mchezo na uumbaji? Yani ni kama wale wanaofanya plastic surgery kubadili jinsia zao na kumeza vidonge vya kuwarutubisha lakini huwezi sikia yeyote alibadili maumbile akazaa au kuzalisha never
ANGALIZO: Kuna wanawake hupenda sana kuiga na kujaribu mambo kama ambavyo kuna maziwa na mahips+mabuttoks ya kichina, wapo watakao zitumia wenye mwelekeo wa kila la ngozi nyeupe zuri..
Sasa wanawake wana uwezo wa kuamua kupata hedhi au http://contraception.about.com/od/prescriptionoptions/a/Lybrel.htm
Aisee kweli wewe ni mtabiri, kuna wadada wa humu humu JF wameni-PM kufanya udadisi, eti vinapatikana wapi!?