Kuna ndugu yangu alikuja Dodoma kutafuta pa kufanya kazi Baada ya kumaliza chuo, Ni mwaka wa pili huu kazi hapati, wala hata kuisikia zikitangazwa hamna. Kazi nyingi zinatangazwa location ni Dar, Bado naji uliza nafasi za kazi kwa Dodoma zinatangaziwa wapi?
Mungu wangu nilikuwa nabisha nimeangalia sms hakuna hata cent moja iliyoongezwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
LGA's
Local Government Athorities (Serikali za mitaa,, kwa maana ya Halmashauri za Miji, majiji na Wilaya)
MDA:Ni mashirika ya Umma
Tanesco, TPA, TRA, NHIF etc
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kwa kifupi ulikurupuka maji yamefika shingoni sasa unajutia
Pole
Si rahisi kurudi kazini tena labda kama hukuwa na chek namba
Pambana huko ambako kipato ni kikubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.