Wabongo Mnalima Mpira mtavuna mpira

anti-Glazer

JF-Expert Member
Apr 13, 2023
291
478
Unachopanda ndio utakachovuma.

Akili zimekuwa finyu sana. Miaka ya hivi karbun wanaume, wanawake watoto na kila mmoja ni mpira tu. Je huu utakuwa urithi wa watoto wetu. Wabongo akili yoote ipo kwenye Mpira, mtavuna mpira. Huu ndio ukweli na unawauma. Watu mnawekeza kwenye mipira, tena bora kamaunatengeneza pesa,ushabiki maandazi.

Tujitarhimini, haiwezekani hats ambao hatuna muda na haya mambo inatukera. Miaka hiyooo hutapata mwanamke akishabikia,walikuwa busy na malez ya Wana. Leo hii wanaelekea taifa kwa mkapa. Na najua watatoka Kapa, naombea uzima kule ila kunahatari ya wengine kupoteza maisha. Yaani Kila mtu ni Simba na yanga. Lkn mbona hata siku zote mnapiga kelele sima na yanga??






Kule kwa wenzetu.



Nchi Ina matatizo lkn hatuna muda nayo.
 
Kwa kweli ina shangaza.
Mpira ulikua mchezo wa kiume na ulikua na mipaka yake lakini baada ya wanawake kuingia sasa imekua tatizo wengine hata kuucheza hawajawahi mbali na kuzijua tu Sheria 17 za mpira.

Umekua mchezo wenye machafu mengi kama kamari, ngono, hisia za ajabu ambazo wameleta wanawake.
Kuna dada juzi ofisi moja ya usafiri wa anga nilienda nikamkuta anabishana Simba na yanga huku akitegemea na mimi nitampa sapoti katika ile mada yao, kwangu ilikua red flag tayari.

Wengi wamekaribishwa kwenye huu mchezo na wanaume zao ambao hata wao wachache sana wanaujua huu mchezo vizuri.
Nadhani wengi pia wanatafuta kichaka cha ku- relief pain zao.

Kwangu mwanamke anaejua habari za mipira na kuzifatilia ni red flag na huwa siogopi kuachana nae kabisa.
 
Unachopanda ndio utakachovuma.

Akili zimekuwa finyu sana. Miaka ya hivi karbun wanaume, wanawake watoto na kila mmoja ni mpira tu. Je huu utakuwa urithi wa watoto wetu. Wabongo akili yoote ipo kwenye Mpira, mtavuna mpira. Huu ndio ukweli na unawauma. Watu mnawekeza kwenye mipira, tena bora kamaunatengeneza pesa,ushabiki maandazi.

Tujitarhimini, haiwezekani hats ambao hatuna muda na haya mambo inatukera. Miaka hiyooo hutapata mwanamke akishabikia,walikuwa busy na malez ya Wana. Leo hii wanaelekea taifa kwa mkapa. Na najua watatoka Kapa, naombea uzima kule ila kunahatari ya wengine kupoteza maisha. Yaani Kila mtu ni Simba na yanga. Lkn mbona hata siku zote mnapiga kelele sima na yanga??






Kule kwa wenzetu.



Nchi Ina matatizo lkn hatuna muda nayo.
Acha kufuatilia maisha ya watu fanya mambo yako.
 
Kule ulaya ambako kila timu ina mashabiki wametuzidi kila kitu. Mnaiba kodi halafu mnasingizia watu kushabikia mpira. Kule uingereza watu wanajaa viwanjani kuanzia timu ndogo hadi kubwa na maendeleo wanayo.

Umefaidika nini basketball , riadha kutokuwa na mashabiki wengi hapa bongo?
 
Kwahiyo unaona mapinduzi yaliyofanyika Niger ndo ujanja? Wananchi kupenda mpira ina tatizo gani? Mimi nadhani ungeanza kwanza kuyarekebisha maisha yako na ya familia yako kabla ya kutuongelea watanzania wengine.
 
Kwahiyo unaona mapinduzi yaliyofanyika Niger ndo ujanja? Wananchi kupenda mpira ina tatizo gani? Mimi nadhani ungeanza kwanza kuyarekebisha maisha yako na ya familia yako kabla ya kutuongelea watanzania wengine.
Subiri jioni. Mim nipo paleeee
 
Back
Top Bottom