Kilichomfanya aache na kujutia ni kwamba anajua kua anamtenda Mungu dhambi, MADHARA ya kimwili na kumkosea Mungu kipi ni hatari zaidi? Huenda hata MADHARA hayajui vizuri kikubwa nikwamba hataki kumtenda Mungu dhambi, Nampa hongera sana kwakweli, Mungu amsaidie
Afadhali hata ajira, watumishi wanapenda kusema et nako kugumu, kama kugumu mbona wananga'angania tu vyeo huko, mtumishi anauhakika wa kula sio saw na majobless
Hahaha, nimecheka Kwa sautj, nina dada yangu nae yuko hvyo, utasikia saiz Niko mbali na vibanda vya Mpesa , ngoja nitume ata mtu akakutumie. Ukipiha cm haipokelewi tena
Huwez kushindana nae hata sku Moja mwenzako ni tabia yake ww unaigiza usithubutu kabisa kulipa kisasi, usimfuatilie jifanye kama hujali anayoyafanya ni ngumu sana kupotezea ila jitahidi ujifanye naww huna mda nae na uko bize na mambo yako, akitaka haki yake mpe haijalishi una maumivu kiasi gani...
Kuna mwanasheria nilimsikiliza alisema aliyeandikwa namarehem kama mrithi huyo ndiye mrithi atakayetambuliwa, na kama hakuandika mrithi basi warithi ni mke na watoto, lakini watachgua mtu wakusimamia hizo Mali kutoka katika ukoo nahapa ndipo tabu huanzia, maana wasimamizi wengi hua sio waaminifu
Yaani shda inakuja pale ambapo mmoja akitangulia mbele ya haki, akitangulia mke Mme Hana shda coz hakuna atakayefatilia Mali zilizobaki lakini akitangulia Mme kama hakuna nyaraka za urithi ndugu wa Mme huja juu kiasi hata cha kumfukuza kwenye nyumban yake, nawatoto hubaki ktk shda kama mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.