Recent content by mrregion

  1. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma:Serikali imetukata mishahara yetu bila taarifa

    Mi sh 10000 imechukuliwa kama ilivyo
  2. M

    JamiiForums Tanzania DDD kwa combination ya HGE

    Kwa ufaulu wa mwaka huu usitegemee sana kupata udsm
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hapendi sex

    Umemshauri kiungwana sana mwelewa ataelewa vizuri sana
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Tanzania wanazeeka haraka?

    Kuzaliwa mwanaume mateso mateso kuhangaika. Nitarudi tu kwenye enzi zangu maana maisha yamenipiga ila napigana nayo ili nirudishe zangu heshima
  5. M

    JamiiForums Tanzania Unamkumbuka Marlaw?

    Siku hizi wanabebwa na video zipo clear sana ila hakuna ujumbe.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Unamkumbuka Marlaw?

    Nikikumbuka sup za chuo kikuu huwa nakosa ujasiri wa kurudi chuo. Sikuwahi kupata sup ila wanangu walikuwa wanatia huruma sana. Unakuta vyuma 4 kati ya tisa ni sup alafu lecturer wa masomo hayo mkuda hatariii. Shikamoo economic
  7. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Kalemani: Wilaya ya Chato itakuwa miongoni mwa Majiji Makubwa nchini

    Mkuu kwa utawala huu lolote linawezekana kwa 100% and no one can reason
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania I don’t wanna marry him, what should I do?

    Tittle ya kizungu maelezo ya kiswahili.
  9. M

    JamiiForums Tanzania WhatsApp imepata tatizo gani ?

    Mi leo kiukweli hadi nilipiga chini wasap ila nikadownload nyingine tatizo lilelile. Kazi za ofisi leo ngumu sana hadi nimeacha kiporo
  10. M

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kupata salary slip

    Mbona ipo active Mkuu au shida mtandao?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Amemeza vidonge vya p2 jana ila leo ametapika

    Unatushawishi tushiriki kuua
  12. M

    JamiiForums Tanzania RC Makonda amuomba radhi Rais Magufuli na watanzania wote kwa kipigo ilichopata Taifa stars

    Hahaaaa bora ntulie mie maana naona mbele giza. Msemaji wa timu ya taifa
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Duh. Wanawake Mungu anawaona
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Njoo pm
Back
Top Bottom