Recent content by Mromboo

  1. Mromboo

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri (kilaza) ni rahisi sana kudanganywa

    Natamani Mungu awape akili ya kuelewa alichokuwa anamaanisha PSEUDOPODIA maana sio kwa ukilaza huu. Kama Kalamu ni 500, (uwanja wa Arusha) ukiwa fala utauziwa 85,000 (Bei ya uwanja kutoka kwa CAG). Au unataka watajwe tuwazomee waone aibu?
  2. Mromboo

    JamiiForums Tanzania Masikitiko: Televisheni za Tanzania zapoteza Watazamaji wa ‘Taarifa ya Habari’

    S Siku hizi ile Tanzania safari chanel imekuwa Zanzibar safari chanel. Kila siku wanaonysha milango ya zenji tu.
  3. Mromboo

    JamiiForums Tanzania Masikitiko: Televisheni za Tanzania zapoteza Watazamaji wa ‘Taarifa ya Habari’

    Kama mtu yeyote ni kama wewe haina haja ya kuuliza. Labda niwaulize kama wanaijua hiyo chanel
  4. Mromboo

    JamiiForums Tanzania Wapinzani hawa ambao sera yao kubwa ni kudandia kila jambo linalotokea wakiingia Ikulu naacha kazi

    Kumbe kuwa chawa ni kazi? Hivi huwa mkistaafu mnapewa mafao?
  5. Mromboo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu hanitaki

    Sasa unahangaika nini? Mpaka leo hujui ku-move on? Tafuta hela broo
  6. Mromboo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Kipozeo: Haki haiwezi kupatikana bila ya Amani

    Tatizo linaanzia kwenye jina lake
  7. Mromboo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Prof. Patrick Lumumba: Ningependa kuona Lissu akiachiwa

    Tatizo Rais Samia ameamua amsikilize Mwigulu ambaye watanzania wanamuona mhalifu namba moja wa ufisadi, wizi na mficha data mkuu ambaye hapendi ukweli.
  8. Mromboo

    JamiiForums Tanzania Wazo: Kwanini kusiwe na Taifa Day kama ilivyo Simba Day na Yanga Day!?

    Ataenda nani? Maana ni siasa tu.
  9. Mromboo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msafiri wa ndege ya Kenya Airways ameonesha uchakavu wa baadhi ya vitu vilivyomo kwenye ndege

    Wakija watakuambia wanataka huo uchakavu uje kwakiingereza
  10. Mromboo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Umati wa Vijana wa Tabora wakielekea kwenye Kampeni za Mgombea Urais CCM Dkt. Samia

    How comes wote wavae sare za Chama? Au ni wale ambao mnahama nao.
  11. Mromboo

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wanaume wangekua na maziwa, wakanyonyesha mtoto

    Unakoelekea siko.
  12. Mromboo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu shemeji yangu alijifanya ananikomoa

    Kuwa makini sana madumuzi. dumuzi haaminiki sana
  13. Mromboo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwalimu: Nilipoaanza walikuwa wananidharau, leo wameona moto wangu hadi wamenza kukaa vikao

    Nape alisema juzi kuwa mgombea original ni wa CCM. Wengine wote ni photocopy. Sasa wenye akili washajua ni photocopy ya nani na wanamuwakilisha nani. Maana photocopy ni kiwakilishi cha original
  14. Mromboo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Deo Munishi awasilisha ujumbe wa CHADEMA Ujerumani

    Alipitia wapi? Maana wangemuona huyo hata ndege ingeshushwa wamtoe kwanza
  15. Mromboo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais CCK: Serikali yangu itagharamia mishahara wahudumu wa Bar

    Ukiona hivyo ujue amenogewa na muuza pombe mmoja. Huyu pia atakuwa anakula beki tatu wake
Back
Top Bottom