Hii Chadema itakuua ndugu yangu. Kwahiyo CCM ndo imekojolea hilo bwawa si ndio eehh!!
Kwamba hujui hata mvua kuzidi kiwango ni madhara ya mabadiliko ya tabia nchi? Acha uchizi usaidiwe.
Huu ni ujing mkubwa sana. Junamuda unakuwa unatumia simu yako mara from no where kanakuja kaujumbe ambako kama hauko makini ukinonyesha okay ushajiunga na maujinga yao. Huu upuuzi uko sana vodacom . Sijui waziri na serikali wamekubalije huu utapeli
Kwamba? Unajua suala la dini ni vile ulivyoaminishwa wewe. Wala hilo kwake halimsumbui regardless ashamezeshwa kama vile wewe na mimi tulivyomezeshwa na kukaririshwa. It's all about religions.
Kwahiyo ofisi ya Chadema ndo italeta maji na umeme we chawa promax? CCM wana ofisi mpaka nyumbani kwa mabalozi. Niambie zinaleta maji na umeme. Ndugu yangu kama huna kitu cha kuandika is better ukae kimya kuficha ujinga wako. Watu wanaongelea mambo muhimu ya umeme na maji wewe unaongelea ofisi...
Hongera ila mwanangu achana na wanawake waliozalishwa na wanaume wengine. Weka akilini kuwa, ukiona mwanamke mwenye mtoto jua kuna mwanaume alimlalia kisawasawa akamzalisha. Huyo/hao ndo waume zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.