Kwa raia wa njee wanao fatilia uchaguzi wetu huenda wakashindwa kuelewa vichwa vya watanzania ni vichwa vya aina gan haiwezekan nchi ambayo inamatatizo kila sekta umasikin umezagaa kila mahal badala ya kwenda kwenye mikutano kusikiliza Sera wanaenda kushangilia wasanii wanavyokata viuno...
Kama kuna yeyote ambaye mawazo yake yanafanana na alicho kisimamia Dr slaa Leo na ni mwana chadema tunamuomba akae pemben mapema atuache wenye dhamira ya kwel yakulikomboa ili taifa tusonge mbele
Utafiti wa mwanzo walio ongoza ilikua ni lowasa na Dr slaa na aliye ongoza alikua ni lowasa utafit huo kwa sasa nikama umekufa kwan kuna mpya imejitokeza na sura Moja haipo itakua vyema kama mtafanya tafit nyingine kama mlivyofanya apo awali
Kulikomboa taifa sio kazi ndogo kumuondoa mkokoni mweusi sio lelemama!kwa wenye dhamira ya kulikomboa taifa tusonge mbele tusiangalie tumepoteza nin nan ameingia nani ametoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.