Tume inasema waliojiandikisha Dar ni 2,800,000

Tume inasema waliojiandikisha Dar ni 2,800,000

Davion Delmonte Jr.

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2013
Posts
2,149
Reaction score
1,721
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu.

Sasa kuna watu wanajitekenya na kucheka wenyewe eti yale mafuriko ya leo sio wapiga kura eti wasindikizaji.

Na badoo mtanyooka tu. Subirini kampeni zianze.

Mmemkata wenyewe mtaisoma namba. Yaani kila kona Lowasa tuuu hakuna cha makufuli wala makomeo funguo tunazo sisi.

Say no to goli la mkono. Toroka uje. Tanzania kwanza.

Ujumbe Umefika.
 
Jk mwenyewe mafuriko yamemchanganya kaamuwa kuitisha kikao cha dharura na wazee wa suti nyeusi
 
Habari ndiyo nchi nzima kwa siku ya leo
 
bao la mkono nape atapigia chooni...sio mimi ni mabango ya ukawa leo mitaa ya buguruni.
 
Wajiandae kisaikolojia kukabidhi nchi, la sivo kwa mafuriko ya leo na jinsi vijana Wana hasira. Hujuma zozote kuanzia sasa ni kuitumbukiza nchi kwenye machafuko
 
kati ya izo 2.800.000 magamba watagawana 300.000 na ndugu zao act wazalendo
 
Yaani dar, mbeya, Arusha, mwanza, kilimanjaro, zingida, mtwara iringa musoma tayar ukawa Wana mtaji wa kura si chini ya milioni 11..
 
Acheni mwemko vijana uzoefu unaonyesha wanao iitokeza kupiga kura ni wachache sana hasa ukizingatia ccm watawatisha kutumia polisi na jeshi.

Uzoefu unaonyesha pia wanachama wa ccm wako very commited kwenye upigaji wa kura tofauti na wafuasi ambao hako serious.
 
vijana hawaogopi polisi wala jeshi, ccm wakileta polisi na majeshi kwa ajili ya kutisha watu, wazee ndo waoga wa polisi hivyo itakula kwao
 
Ahahaha Kurunzi bhana embu tulia uchomwe cndao homa yako imepanda sana wa2 wamehamacka sana kwenye suala la kujiandikisha na kupiga kura.
 
Acheni mwemko vijana uzoefu unaonyesha wanao iitokeza kupiga kura ni wachache sana hasa ukizingatia ccm watawatisha kutumia polisi na jeshi.

Uzoefu unaonyesha pia wanachama wa ccm wako very commited kwenye upigaji wa kura tofauti na wafuasi ambao hako serious.

Mnazo yaarifa za wale waliomaliza JKT wakakosa ajira. Mnazo?
 
Habari ndiyo nchi nzima kwa siku ya leo

Kuongelewa ni kawaida ila je, unaongelewa kwa yepi? Lowasaa anaongelewa kwa yapi? hata shetani mwenyewe anaongelewa kuliko Ufalme wa mbinguni lakini shetani anabaki ni shetani
 
Dar ina watu kiasi gani?
Watu walio kwenye umri wa kupiga kura ni wangapi? 18 years and above?
Ndo tuje kulinganisha na takwimu za NEC.
 
Dar ina watu kiasi gani?
Watu walio kwenye umri wa kupiga kura ni wangapi? 18 years and above?
Ndo tuje kulinganisha na takwimu za NEC.

Mwaka huu mpaka waliozaliwa 1999 wamejiandikisha
 
acheni mwemko vijana uzoefu unaonyesha wanao iitokeza kupiga kura ni wachache sana hasa ukizingatia ccm watawatisha kutumia polisi na jeshi.

Uzoefu unaonyesha pia wanachama wa ccm wako very commited kwenye upigaji wa kura tofauti na wafuasi ambao hako serious.


amka.acha siasa.maji taka...or.the champion of the toilet!!!nchi hii si ya wanachama ni ya watanzania wote...watanzania wamewakataa hao wanachama na chama chao...polisi kwani unadhani polisi wanawapenda ndugu zao wateseke..na hali iliyopo!!labda mabosi wao...ikitokea ndio utafahamu kwani bado umefungwa kufahamu alama za nyakati!!
ifike mahali spoon iwe spoon na beleshi liwe beleshi na sio big spoon...
 
Msiwe.na shaka.na.idadi ya waliojiandikisha ..kwani kila kituo tutapiga kura na kuzilinda tujue idadi kamili palepale mpaka asubuhi...wasituletee stail waliotumia kwenye chama chao...comeon...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom