Recent content by mrdalu

  1. mrdalu

    PostGE2025 Hit the Jugular: Je, waandamanaji waliipata wapi hii mbinu ya kijeshi?

    Tulitegemrea kushika hao wengi kusaidie yasitokee..sasa kama yalitokea na unasema kuna watu wenye nguvu walikua nyuma yake...tutaamini vp ufanisi wa hiyo Tiss kuelekea tar 9 dec?je hao waty wenye nguvu wameshakufa au kuamatwa au kuondolewa?
  2. mrdalu

    PostGE2025 Hit the Jugular: Je, waandamanaji waliipata wapi hii mbinu ya kijeshi?

    Hao Tiss walishindwaje kuwafahamu waandamanaji wakiwa wanapiga chafya kabla hawajakichafua?
  3. mrdalu

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi yenye lengo la kudogosha mauaji ya watanganyika

    Mkuu kuna swali nimeuliza hujalijibu bado
  4. mrdalu

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi yenye lengo la kudogosha mauaji ya watanganyika

    Mkuu mimni nina swali jingine ...what if hiyo kesi ikafunguliwa ICC...na vyombo vya usalama vya ndani vikafanya high interference with witnesses process kama kuwatisha...kuwahonga au hata kuwapoteza...je unahisi hiyo kesi itafanikiwa au itapotezewa kama ilivofanyika kwa kina Ruto? MALCOM LUMUMBA
  5. mrdalu

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi yenye lengo la kudogosha mauaji ya watanganyika

    J Je hii iliwezekana kwa Nkurunzinza?maana hatukusikia ICC wakiweka pressure ya kumkamata na kumshtaki mpka umauti ulipomkuta 2020... MALCOM LUMUMBA
  6. mrdalu

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi yenye lengo la kudogosha mauaji ya watanganyika

    Mkuu je ikitokea Baada ya ripoti ya tume ya ndani...Serikali ikaamua ijitoe ICC kwa kupiga kura bungeni..kama .nkurunzinza alivofanya Burundi....unahisi kutakua na namna yeyote ile ya kuwawajibisha kwa mauaji waliyofanya?au ndo itakua imetoka hiyo MALCOM LUMUMBA
  7. mrdalu

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Yalibadili chochote??walisikilizwa??
  8. mrdalu

    Wananchi wengi wakilipa kodi ndio wataweza kuwadhibiti viongozi wao. Lakini sio kwa nchi yetu ambayo walipakodi hawafiki hata robo ya idadi

    Leo naomba niseme mtibeli umetoa boko😂hakuna mwananchi asiyelipa indirect tax...kupanda daladala tu ushalipa kodi... Labda kama vituo vyote wanaingiza mafuta kwa magendo..na sisi si wajibu wetu kufatalia ni wajibu wa serikali...haya kuna wale wa vijijini tuseme hawapandi daladala..watanunua...
  9. mrdalu

    Nimepoteza marafiki kisa mke wangu!

    Umemzidi miaka mingapi mkeo?
  10. mrdalu

    Filamu: Mwili wa mwanamke aliyekufa kwa sumu, umepotea Mochwari

    Wewe ndo mwenye hii page kule X au na we ni mwizi kama wezi wengine?unaiba X unaleta Jf:D
  11. mrdalu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Braza trust me...Man U..ina matatizo mengi...lakini wakiendelea kulilea hili tatizo ...watavuna mabua..the kid is getting bigger than the club ...which is not a good thing...hata ungekuwa unafunga kwa ulimi....ikifikia hatua unakuwa mkubwa zaidi ya Club..hamnaga turning point mzee...Solution...
  12. mrdalu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Once a virus always a virus...Go and play with your fellow snakes like Courtoius(if you will be lucky[emoji57])...Namuona Mourinho anazidi kujichukulia point za mezani....
  13. mrdalu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    With all these rumours..to be fair Aron Bissaka si wa milioni 40 achilia mbali zaidi ya hapo...he is too overrated..ukabaji wake ni wa kujirusha mzima mzima dakika za mwisho hafu hajui kucross kama Young tu...ila huyu mbadala wanayemzumngumxia Max Aarons wa Norqich..he is too way better than...
Back
Top Bottom