Watu walipewa maeneo huko wakayauza wakarudi
Tena dimbwini
Kinondoni shamba, mbonde la mpunga msasani kote huko,mwananyamala kisiwani kote hko watu inabdi waondolewe
Sehemu hakuna mitaa hata gari la taka linashindwa ingia,
Ova
Mfano zile kota za kinondoni manyanya ziko chini ya TBA
Pale walitakiwa watafute developer,sehemu prime kama ile haiwezi kuwa vile
Mule ukingia ndani maana nliingiaga hko miaka 3 nyuma in/out kuchafu kuna uhalifu,umaly,wauza gongo
Uliza sasa kila unit wanalipa TBA kwa mwezi bei gani
Ni 9200/...
Hapo ni namna tu ya kuwa relocate watu kwenye makazi hayo ya squatter
Mfano kinondoni shamba it's a prime area,watu wote walitakiwa waondolewe walipwe hapo patengenzwe
Mji mzuri na sehemu zingine pia
Ova
Naona mpaka sahv hakuna
Taarifa rasmi ,huyo rose ni nani anajishugulisha na nini
Tusubirieni pdf la PT wenyewe
Yawezekana wakasema alikuwa bwiiii,au mgonjwa
Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.