Wakat huo zuhura yunus huyu anaanda matamasha
😄
Sema nakumbuka kuna show moja iliandaliwa poolside kilimanjaro,nature ,solo dohhh mambo yaliharibika zilipigwa kweli
Maana wahuni kibao kutka feri walivamia...hyo kila mtu alisanda
Ova
Mambo ya mali haya mzee wako sjui alikuwa kwenye system ,siku akidondokaaa
Watoto ndg hawajali hicho
Mzee ni mwendo wa kuraruana na mali tu 😄
Nmekumbuka sekeseke za mzee diria naye wake walileta timbwili
Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.