Sahv ujinga upmbv unapewa kipaumbele
Kwa hyo mtu anakunywa mipombe ovyo...watu wanamsifia na kumshangilia
Mnampa mnasema likes sjui mna follow upuzpuz
Ndiyo yale ya pierre kapiga mapombe mpaka mkamuita mlevi wa taifa na bungeni mkampeleka...akajaga kuwa hoi naye sahv mitungi kaacha nasikia..
Ova
Ngoja tumsikie muliro atakuja na majibu gani
Maana wengine wanasema dogo sijuwi alikiwa winger kko...kuna mambo ya sim blah blah
Wengine mapenzi nao wanasema
Ova
Kama wale wanasema wengi wanaotekwa na kupotezwa ni sababu ya wivu ya mapenzi,dhuluma nk
Hii kauli imewapa sana watenda maovu njiaa!
Na huku chini watu wakifanyiana potezana raia
Inajuwa ni watu wa mfm ndy wametekeleza
Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.