Recent content by mrangi

  1. mrangi

    JamiiForums Tanzania Anayepajua Mkundi mwisho Morogoro atupe ramani naskia Kuna Machimbo ya Dhahabu.

    Mambo ya mlio ukienda kesho keshokutwa pashakuwa kapa Ova
  2. mrangi

    JamiiForums Tanzania Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano usilolijua usiku wa kiza

    Tunarudi kule kule kupindisha historia! J.okello hawataki hilo jina Jina litajwe kabisa ktk mapinduzi huko Ova
  3. mrangi

    JamiiForums Tanzania Huyu Ndiyo Msanii Aliyedharaulika Zaidi Kwenye Muziki wa Tanzania? – Kisa cha Rashidi Ziada (KR)

    Ngwair ft kr mulla- msela Mwamba aliua sana mule Ova
  4. mrangi

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Hamisi Delgado: Anavyomkumbuka Joseph Kasella Bantu Mahakamani Tabora na Uhamishoni Ujerumani

    Hivi Christopher kasanga tumbo naye ni wa kutoka tabora Ova
  5. mrangi

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Hamisi Delgado: Anavyomkumbuka Joseph Kasella Bantu Mahakamani Tabora na Uhamishoni Ujerumani

    Yah,kama sijakosea alikuwa founder wa TRAU ova
  6. mrangi

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Hamisi Delgado: Anavyomkumbuka Joseph Kasella Bantu Mahakamani Tabora na Uhamishoni Ujerumani

    Tabora miaka ya zamani iliwatoa watu wabishi,wapiganaji,wapingaji ni kama walizimwa hivi 😄 RIP mapalala Ova Mohamed Said
  7. mrangi

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ukiropoka ujinga kwenye uzi utajuta, No Delete Section

    Aise kama mimi Humu sahv hata kushusha Nondo za Mikasa,matukio sahv inabidi unyuti tu Tumekuwa zaidi wasomaji Ova
  8. mrangi

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Siku zote huwa nasema Mapenzi&mahusiano huwa yana expire Ova
  9. mrangi

    JamiiForums Tanzania Waswahili wa Marekani

    Hivi ulisha bahatika kukutana na yule mmarekani John mtembezi Mohamed Said Ova
  10. mrangi

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Soko la Bilioni 40 limekosa wapangaji kama lilivyo Soko la Job Ndugai

    Jirani kwangu kinondoni bwawani wamejenga soko La kisasa lakini hakuna watu Wateja wote wanakimbilia soko la mapinduzi na mtambani,ujenzi wa masoko Wafanyabiashara hawataki mbwembwe...sasa mtu unamuwekea tiles wakati wafanyabiashara wana mambo yao 😄 Ova
  11. mrangi

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Soko la Bilioni 40 limekosa wapangaji kama lilivyo Soko la Job Ndugai

    Soko ukishaliweka kisasa kila mtu anakimbia Ova
Back
Top Bottom