Sijahama nchi mkuu,nmekuj kuchek familia tu huko ntarud tu
Jiji kama jiji wangetembea kuona Beach za wenzao wanavyofanya wangejifunza kitu
Sawa wanaibinafsisha je kwa nani?je wale wenzangu na mimi wataweza ingia huko,anyway ss wengine hyo beach tumeifaidi vya kutosha labda kwa kizazi cha sahv...
Ile Beach wakifanya iwe private watu wengi wataafhirika aise
Maana ild ni sehemu ya wenzangu na mm kwenda kuenjoy,kuna kizazi ambacho hata beach fukwe hawatoigusa
Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.