Recent content by mrangi

  1. mrangi

    Bei ya Mafuta kupanda kuanzia 05. Mei 26 (5,000@litre-Petrol)

    Mfumuko hutokee mara ngapi,mfumuko lazima hutoke kpnz Ova
  2. mrangi

    Trafiki Arusha mmezidi

    Wanatumwa pesa na wakubwa zao haooo Huo mtandao kuuvunja Inataka kazi kweri kweri Ova
  3. mrangi

    Bei ya Mafuta kupanda kuanzia 05. Mei 26 (5,000@litre-Petrol)

    Na mlaji mwananchi hana mtetezi anakamuliwa Tu Ova
  4. mrangi

    Wito: Jaji Mkuu Masaju Achia Ngazi

    Hivi jaji mkuu tz ana teuliwa na nani??? Ova
  5. mrangi

    EWURA hawazalishi chochote ila kazi yao kupanga bei ya mafuta. Ifutwe kama tulivyofuta SSRA

    Yaani tz mlaaji wa mwisho Siku zote anatandikwa anakandamizwa na hana mtetezi Mlaji ni mtu wa kukubali tu bei yoyote ikiwekwa yeye anakubali Ova
  6. mrangi

    Mtengeneza maudhui ya unywaji pombe maarufu Tonie Professor augua Ugonjwa wa Ajabu, aomba msaada kwa wadau

    Sifa tu za kijinga Maana sahv ujing unapewa Kipaumbele Ova
  7. mrangi

    Mtengeneza maudhui ya unywaji pombe maarufu Tonie Professor augua Ugonjwa wa Ajabu, aomba msaada kwa wadau

    Kuna mdau humu kasema pierre sahv kaslim kawa mtu swala 5 Ova
  8. mrangi

    Mtengeneza maudhui ya unywaji pombe maarufu Tonie Professor augua Ugonjwa wa Ajabu, aomba msaada kwa wadau

    Aliuguwaga naye...kunywa mipombe kwa sifa Aise,dunia ya sasa ina mambo kweli kweli Mtu alipelekwa mpaka bungeni kisa mlevi 😄 Ova
  9. mrangi

    Mtengeneza maudhui ya unywaji pombe maarufu Tonie Professor augua Ugonjwa wa Ajabu, aomba msaada kwa wadau

    Sahv ujinga upmbv unapewa kipaumbele Kwa hyo mtu anakunywa mipombe ovyo...watu wanamsifia na kumshangilia Mnampa mnasema likes sjui mna follow upuzpuz Ndiyo yale ya pierre kapiga mapombe mpaka mkamuita mlevi wa taifa na bungeni mkampeleka...akajaga kuwa hoi naye sahv mitungi kaacha nasikia.. Ova
  10. mrangi

    Wito: Jaji Mkuu Masaju Achia Ngazi

    Remote huyo Ova
  11. mrangi

    Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Ngoja tumsikie muliro atakuja na majibu gani Maana wengine wanasema dogo sijuwi alikiwa winger kko...kuna mambo ya sim blah blah Wengine mapenzi nao wanasema Ova
  12. mrangi

    Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Kama wale wanasema wengi wanaotekwa na kupotezwa ni sababu ya wivu ya mapenzi,dhuluma nk Hii kauli imewapa sana watenda maovu njiaa! Na huku chini watu wakifanyiana potezana raia Inajuwa ni watu wa mfm ndy wametekeleza Ova
  13. mrangi

    Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Kuna mauaji mengine yakitokea,hata kama weweunauwezo wa kuchanganua mambo +uchunguzi mdogo unaweza jua sababu ni nini Ova
  14. mrangi

    Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Tanzania kuna maserial killa kibao wanaranda mitaani Watu wengi washafanya matukio na hawajakamatwa Ova
  15. mrangi

    Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Na mfumo pia maana watenda maovu wanawaiga Ova
Back
Top Bottom