Recent content by mrangi

  1. mrangi

    JamiiForums Tanzania Ukipata nafasi, nenda ukale chakula kwa Mama Ntilie, utabarikiwa

    Chakula chao huwa bomba Sana aise ..... Ova
  2. mrangi

    JamiiForums Tanzania Studio ya Msanii Barnaba yawaka moto Mwananyamala, hakuna kilichopona

    Studio anadai mln 100 😄 Ashaongeza sifuriiii Ova
  3. mrangi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Nyie sahv si digital platform mnazo Zamani ngoma kwenye tape anapelekewa mamu yeye ananunua na kuuzaa yeye Ova
  4. mrangi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Sahv kila kitu ni kik kik Ova
  5. mrangi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Wakat huo zuhura yunus huyu anaanda matamasha 😄 Sema nakumbuka kuna show moja iliandaliwa poolside kilimanjaro,nature ,solo dohhh mambo yaliharibika zilipigwa kweli Maana wahuni kibao kutka feri walivamia...hyo kila mtu alisanda Ova
  6. mrangi

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Wana Usalama (Intelligence Community) wana la kujifunza

    😄 nazinguaaa mkuu Yaan mm nnunue mavitabu yake ya kucopy n paste 😄 Ova
  7. mrangi

    JamiiForums Tanzania Familia ya Bernard Membe wavaana wakigombea mali. Iwe funzo kwa mafisadi wote

    Mambo ya mali haya mzee wako sjui alikuwa kwenye system ,siku akidondokaaa Watoto ndg hawajali hicho Mzee ni mwendo wa kuraruana na mali tu 😄 Nmekumbuka sekeseke za mzee diria naye wake walileta timbwili Ova
  8. mrangi

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Wana Usalama (Intelligence Community) wana la kujifunza

    Mwongo mwongo Ehe kitabu tunakipata wapi na kwa bei gani jasusi wa mchongo Ova
  9. mrangi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Agnes Nasania Diwani Kata ya Shelui, Wilaya ya Iramba afariki Dunia

    Kifo kiboko ya mwanadam Ova
  10. mrangi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Michango vp huko Taifa la wanafki Ova
  11. mrangi

    JamiiForums Tanzania Kupanda kwa Mafuta na Hatari ya Migomo na Maandamano Nchi Nzima

    Nyie mna stahili muuziwe mafuta mpaka 10000 lita Ova
  12. mrangi

    JamiiForums Tanzania Polisi Wavamia Nyumbani kwa Mbyella, Wachukua T-Shirt, Kofia, Nguo na Bendera za CHADEMA

    Polis bana haha 😄 Wakiagizwa wanakuwa kama vishada Ova
  13. mrangi

    JamiiForums Tanzania KERO Bar ya Camp Edward (Tabora) wanapiga muziki mkubwa sana na IPO katikati ya makazi

    Bar nyingi hko sahv ni shzshz Tu Ova
  14. mrangi

    JamiiForums Tanzania KERO ILEMELA, MWANZA: Je, Serikali ya CCM Inashindwa Kumdhibiti Mwana CCM Anayevunja Sheria?

    Acha mmletewe bar hapo mjaziwe wauza nyap watu wanyanduane ndicho kilichobaki Ova
Back
Top Bottom