Jirani kwangu kinondoni bwawani wamejenga soko
La kisasa lakini hakuna watu
Wateja wote wanakimbilia soko la mapinduzi na mtambani,ujenzi wa masoko
Wafanyabiashara hawataki mbwembwe...sasa mtu unamuwekea tiles wakati wafanyabiashara wana mambo yao 😄
Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.