Recent content by mrangi

  1. mrangi

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Majambazi wapora fedha na kumuua wakala

    Hao wanaenda kuwaibia makapuku ! Ova
  2. mrangi

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Huko tanzania kuna nini kwani? Ova
  3. mrangi

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Watu walipewa maeneo huko wakayauza wakarudi Tena dimbwini Kinondoni shamba, mbonde la mpunga msasani kote huko,mwananyamala kisiwani kote hko watu inabdi waondolewe Sehemu hakuna mitaa hata gari la taka linashindwa ingia, Ova
  4. mrangi

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Mfano zile kota za kinondoni manyanya ziko chini ya TBA Pale walitakiwa watafute developer,sehemu prime kama ile haiwezi kuwa vile Mule ukingia ndani maana nliingiaga hko miaka 3 nyuma in/out kuchafu kuna uhalifu,umaly,wauza gongo Uliza sasa kila unit wanalipa TBA kwa mwezi bei gani Ni 9200/...
  5. mrangi

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Hapo ni namna tu ya kuwa relocate watu kwenye makazi hayo ya squatter Mfano kinondoni shamba it's a prime area,watu wote walitakiwa waondolewe walipwe hapo patengenzwe Mji mzuri na sehemu zingine pia Ova
  6. mrangi

    JamiiForums Tanzania Puma Energy Tanzania kupitia PUMAGAS yaanza ziara kuhamasisha matumizi ya gesi ya kupikia

    Bei zao zikoje! Mtungi mdogo na mtungi mkubwa Ova
  7. mrangi

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyemshauri Samia kufanya safari za ndege DSM kwenda Urusi? Huyo mtu kama yupo, afukuzwe Kazi!

    Hiyo ruti ngumu sana na mavita hya kurushiana makombora tena Ova
  8. mrangi

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Tusubiri pdf ya PT itasemaje? Je huyo dada alkkuwa anasakwa Au alikuwa bwax wakampa msaada Ova
  9. mrangi

    JamiiForums Tanzania Waziri wa mambo ya ndani kisheria anaweza kusamehe wahalifu

    Kuna nini tena huko nani wamesamehewa Ova
  10. mrangi

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Mimi siyo muoga kwasababu Sina hatia, watu wenye hatia ndio huwa waoga

    Mhmh aise Ova
  11. mrangi

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Naona mpaka sahv hakuna Taarifa rasmi ,huyo rose ni nani anajishugulisha na nini Tusubirieni pdf la PT wenyewe Yawezekana wakasema alikuwa bwiiii,au mgonjwa Ova
  12. mrangi

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Tusubiri pdf la PT Ila huyo dada anaonekana Kama yuko bwiiiiii Ova
  13. mrangi

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Mdude na wengineo walichukuliwa dar 😄 Ova
Back
Top Bottom