Jamani Naomba kuuliza,,
Kuna mtu Aliniambia anaunganisha bundles za Mtandao fulani,,Nikamtumia pesa ili aniunge badala yake akakimbia mazima,,Namba yake naiona iko active WhatsApp na hata kawaida anapatikana,,Je Nawezaje kumfatilia na kutambua Alipo????