Recent content by Mrage Hemedi

  1. M

    Biashara ya simu used kutoka Dubai

    Habari Ndugu Zangu Nataka Kufanya Biashara ya Simu used Kutoka Dubai, Naomba msaada wa vitu vifuatavyo. 1. Jinsi ya kupata connection ya kuagiza vitu hivyo Kutoka Dubai 2. Mtaji unaohitajika (Kima Cha chini ya Mtaji) 3. Je, Biashara hii Ina Faida nzuri?
  2. M

    Technogy

    Jamani Naomba kuuliza,, Kuna mtu Aliniambia anaunganisha bundles za Mtandao fulani,,Nikamtumia pesa ili aniunge badala yake akakimbia mazima,,Namba yake naiona iko active WhatsApp na hata kawaida anapatikana,,Je Nawezaje kumfatilia na kutambua Alipo????
  3. M

    Taratibu za kampuni kupata namba ya lipa kwa Mpesa/tigo pesa

    Au nitumie njia gan ingine kupata lipa namba?
  4. M

    Taratibu za kampuni kupata namba ya lipa kwa Mpesa/tigo pesa

    Naomba kuuliza wakuu,,Kuna mtu alinisajilia Line ya lipa kwa simu,tayari nilishatumiwa sms kuhusu kukamilika kwa line yangu na kubadilisha pasword lakini kupata ile Namba ya Malipo imekua changamoto,,Je Nikienda Vodashop wanaweza kuiona Kwenye system???
  5. M

    Mamlaka Nchini Ukraine zasema shambulio la Urusi limeua Wanajeshi 70

    Maisha ya wasio na Hatia Yanateketea maskini
  6. M

    Ukraine: Mataifa ya magharibi yanatuangalia kwa mbali, njooni mtusaidie

    Hofu yangu ni kuwa Wanapopigana Mafahari wawili zinazoumia ni Nyasi tuu
  7. M

    UN yaitaka Urusi iondoe wanajeshi wake Ukraine

    Unataka kusema nn yan,,Raia wasio na hatia waendelee kuuwawa na Urusi kwasbbu Na marekani iliwahi fanya ivo libya au
  8. M

    Abdallah Mwaipaya ulichokifanya Redioni usikirudie tena Kitakugharimu Kiutendaji kwa Rais Samia

    Ama kwl dunia ikiisha shetani hufanya Mambo yasiyo ya kawaida kuonekana ni ya kawaida
Back
Top Bottom