Recent content by Mr_positive

  1. Mr_positive

    Rais Samia awapa ajira za kudumu watumishi 2100 waliokuwa wanafanya kazi kwa mikataba TANROADS

    Ushawahi kufukuzwa kazi ukiwa huna kazi kisa tuu chuki ya mtu Mmoja ambae ni kwa roho mbaya zake tuu asee Usiombe
  2. Mr_positive

    Rais Samia awapa ajira za kudumu watumishi 2100 waliokuwa wanafanya kazi kwa mikataba TANROADS

    Daah wakati wengne tumefukuzwa na tulimpa mama 2015 sasa sijui itakuwaje 😢😢😢Tunatamani sana kulipa fadhila Mi nishasema mpka nipate ndo ntakiri Mama anaupiga Mwingi Aisee ✋
  3. Mr_positive

    Natafuta nafasi ya kazi Community Development

    Jaribu kutembelea ofisi zao Baadhi niwaelewa unaweza kusaidika
  4. Mr_positive

    Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa. Hongereni mliopata utumishi mwema

    Hahah na mimi sjapata asee ni miongoni mwa best looser cjui shda ninini ila ndo ivo
  5. Mr_positive

    Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa. Hongereni mliopata utumishi mwema

    Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa hongereni kwa mliopata na kheri ya utumishi mwema. Inawezekana tumefaulu ila nafasi ndio tumekosa ila tuna mshukuru Mhe Raisi japo sijabahatika kuitwa ila jamaa zangu wengi kutoka familia zetu za hali ya chini wamepata kwa jitihada binafsi...
  6. Mr_positive

    PSSSF inavyowatesa wazee wastaafu

    Zimefika
  7. Mr_positive

    Make Tanzania Great Again (MATAGA)

    Na huo ndo mchakato broh,,,so unahitaji kuwa na ukomavu wa kisiasa
Back
Top Bottom