Recent content by Mr_positive

  1. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja changu mwenyewe kigamboni kisarawe II LINGATO

    Tajiri wahi kiwanja hiki utanishukuru badae..Nimepata shida tu ukubwa 20 kwa 20 kikubwa kizuri sana bei milion 10 nicheki 0756038510 Kimepimwa ila hakina HATI bado
  2. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza Kiwanja Mwanza

    ndio nitafute tuongee
  3. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza Kiwanja Mwanza

    Ndioo
  4. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza Kiwanja Mwanza

    Hakina kaka
  5. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza Kiwanja Mwanza

    Nauza kiwanja changu hapo Mwanza Buswelu mtaa wa kahama ukubwa ni 28 kwa 18 Nipe 2.5M uchukue mali ...0756038510...nicheki nikujnganushe na sister hapo Mwanza uchukue mali mie nipo Dar
  6. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awapa ajira za kudumu watumishi 2100 waliokuwa wanafanya kazi kwa mikataba TANROADS

    Ushawahi kufukuzwa kazi ukiwa huna kazi kisa tuu chuki ya mtu Mmoja ambae ni kwa roho mbaya zake tuu asee Usiombe
  7. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awapa ajira za kudumu watumishi 2100 waliokuwa wanafanya kazi kwa mikataba TANROADS

    Daah wakati wengne tumefukuzwa na tulimpa mama 2015 sasa sijui itakuwaje 😢😢😢Tunatamani sana kulipa fadhila Mi nishasema mpka nipate ndo ntakiri Mama anaupiga Mwingi Aisee ✋
  8. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Natafuta nafasi ya kazi Community Development

    Jaribu kutembelea ofisi zao Baadhi niwaelewa unaweza kusaidika
  9. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa. Hongereni mliopata utumishi mwema

    Hahah na mimi sjapata asee ni miongoni mwa best looser cjui shda ninini ila ndo ivo
  10. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa. Hongereni mliopata utumishi mwema

    Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa hongereni kwa mliopata na kheri ya utumishi mwema. Inawezekana tumefaulu ila nafasi ndio tumekosa ila tuna mshukuru Mhe Raisi japo sijabahatika kuitwa ila jamaa zangu wengi kutoka familia zetu za hali ya chini wamepata kwa jitihada binafsi...
  11. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania PSSSF inavyowatesa wazee wastaafu

    Zimefika
  12. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Make Tanzania Great Again (MATAGA)

    Na huo ndo mchakato broh,,,so unahitaji kuwa na ukomavu wa kisiasa
Back
Top Bottom