Daah wakati wengne tumefukuzwa na tulimpa mama 2015 sasa sijui itakuwaje 😢😢😢Tunatamani sana kulipa fadhila Mi nishasema mpka nipate ndo ntakiri Mama anaupiga Mwingi Aisee ✋
Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa hongereni kwa mliopata na kheri ya utumishi mwema.
Inawezekana tumefaulu ila nafasi ndio tumekosa ila tuna mshukuru Mhe Raisi japo sijabahatika kuitwa ila jamaa zangu wengi kutoka familia zetu za hali ya chini wamepata kwa jitihada binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.