Recent content by Mr Tony

  1. M

    Uislamu na kuchinja mifugo inayoliwa na watu

    Nacho kufahamu mimi hilo swala la kuchinja wanyama limebezi sana kwenye mapato ya fedha kwa sababu hao wanao itwa wachinjaji huwa hawachinjii bure,.
  2. M

    PostGE2025 Majizzo: Ni kweli tunataka kumpoteza Diamond, mtu muhimu; aliyewainua Harmonize na Rayvanny?

    Ashukuru Mungu huyo Diamondi watu hawa kumtembelea kama walivyo fanya kwa mwenzake nenga
  3. M

    Nahitaji kujifunza udereva wa malori

    Moja kwa moja ni elekee kwenye maada. Mimi ni kijana ambaye nimekuwa na shauku ya muda mrefu ya kuwa dreva wa maagari makubwa, hivyo Basi ningependa kuwaomba kwa wale madereva ambao wana moyo wa kusaidia wanisaidie kuweza kutimiza ndoto yangu au Kama kuna mtu ambae ana ndugu anae hitaji...
Back
Top Bottom