Moja kwa moja ni elekee kwenye maada.
Mimi ni kijana ambaye nimekuwa na shauku ya muda mrefu ya kuwa dreva wa maagari makubwa, hivyo Basi ningependa kuwaomba kwa wale madereva ambao wana moyo wa kusaidia wanisaidie kuweza kutimiza ndoto yangu au Kama kuna mtu ambae ana ndugu anae hitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.