Thank you...sema, hii power ni ya muda wote, ama kipindi cha vita?
In other words, CDF anaweza at any time akam_command IGP akashughulikie kitu flan,jus like alvokua anafanya Kangi?
Miongoni mwa documents muhimu kwa ajili ya kuomba vibali, especially kama utaweka katika Road Reserve hii sheli; ni Michoro sahihi.
Tuungishane tukuandalie michoro!
Mimi nilipoteza lisaa hapo....watu tunaaminishana uongo, watumiaji wote wakirud hapo hali itakua kama zaman tu.
La mhim tuendelee kutumia zile njia mbadala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya waungwana....tuweni wakweli sasa....
Wangapi wameitumia hii intersection hivi karibuni, ikiwa katika PEAK HOURS?
Katika uchangiaj wangu hapo kale, niliwaambia kua maswala kama haya ya kushabikia vitu vya kitaalam bila kujua undan wake, utawavutia watumiaj wengi waliokua wamekwepa njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.