Recent content by Mr Snow

  1. Mr Snow

    Maajabu: Barabara njia 8, Zebra kila baada ya Kilomita 1

    TANROADS*** 1. In Capital Letters 2. With 'S' at the end. Repeat again, using a Technical Language this time.
  2. Mr Snow

    Naomben msaada wa ku_unlock modem ya Huawei E3372

    Habari wakuu, Naomben msaada wa ku_unlock modem ya Huawei E3372.
  3. Mr Snow

    Mkurugenzi wa Tarime mjini apata ajali Manyoni Singida

    Naomba kumfaham jina, maana nmeskia nmesoma nae shule moja ya msingi lakini sijafankiwa kumfaham.
  4. Mr Snow

    Anaewajua hawa wauza magari tradecarview

    Niliagiza direct japana kupitia sbt, this march.....nnazo contacts zao, I can connect you with them if you wish.
  5. Mr Snow

    Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) nani ana cheo kikubwa?

    Thank you...sema, hii power ni ya muda wote, ama kipindi cha vita? In other words, CDF anaweza at any time akam_command IGP akashughulikie kitu flan,jus like alvokua anafanya Kangi?
  6. Mr Snow

    Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) nani ana cheo kikubwa?

    I like ur understanding....sema, hii wizara ya Dk. Mwinyi ni wizara ya ulinzi, ama ulinzi na usalama?
  7. Mr Snow

    Mchungaji Mitimingi: Kibamia siyo tatizo la mwanaume kushindwa kumridhisha mwanamke kingono

    Aya nipewe maelekezo chap nibofye send [emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Mr Snow

    Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

    Kibongo bongo we mean the same...correct me if am wrong
  9. Mr Snow

    Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

    Miongoni mwa documents muhimu kwa ajili ya kuomba vibali, especially kama utaweka katika Road Reserve hii sheli; ni Michoro sahihi. Tuungishane tukuandalie michoro!
  10. Mr Snow

    Is time traveling possible?? (kusafiri muda inawezekana?)

    😁😁😁😁😁😁😁😁 Mkuu ulikua ukishajua jibu njia unaitafta upya na unaelew a.....so hakakukosewa......
  11. Mr Snow

    Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

    Mimi nilipoteza lisaa hapo....watu tunaaminishana uongo, watumiaji wote wakirud hapo hali itakua kama zaman tu. La mhim tuendelee kutumia zile njia mbadala. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mr Snow

    Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

    Haya waungwana....tuweni wakweli sasa.... Wangapi wameitumia hii intersection hivi karibuni, ikiwa katika PEAK HOURS? Katika uchangiaj wangu hapo kale, niliwaambia kua maswala kama haya ya kushabikia vitu vya kitaalam bila kujua undan wake, utawavutia watumiaj wengi waliokua wamekwepa njia...
  13. Mr Snow

    Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

    Upeo wako ni mdogo sana. Tofautisha kwanza Contractor na Consultant. Then niulize nikujibu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom