MImi mwenyeji wa Mbeya...kuibadilisha Mbeya ni safari ndefu, pamesahaulika kweli upo sahihi...mipango miji hawapo serious pale ila barabara zinajengwa kwa sasa.
Kabisa , labda waseme mkusanyiko gani wa vijiji Tanzania ni bora...maana tunayoyaita majiji yote ni mkusanyiko wa vijiji , labda dar at least ni mkusanyiko wa mitaa.
Tanzania yote tu ni ya ovyo...Dar yenyewe ya ovyo kweli...ukiwa unashuka na ndege ukaiona toka juu na hukuwapo Tz kwa muda ndio utaona ilivo ya ovyo so hakuna jiji zuri Tz acheni kujifariji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.