Mdogo wangu alipenda sana kanisani na kuomba ila mwisho wa siku alifariki kwa ajali na maishani hakiwai kuwa maisha yanayoeleweka...ilinifikirisha sana
Ukitoka nje ya Box na watu kusema ukihoji ni dhambi ila kuna mambo mengi yana ukakasi sana! Unaomba miaka nenda rudi upo vile vile ila ukikosea unaadhibiwa haraka haraka.
Sijui lakini hii dunia utaratibu wake unashangaza sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.