Recent content by Mr Slim

  1. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Sio lazima kuoga kila siku.

    Udogoni sawa ila baada ya kuwa mwanaume kijana mpaka mbaba niliacha kabisa.
  2. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tafuteni zao mbadala la biashara,Mahindi Kwa Sasa yanalimwa Kila pembe ya Nchi.Hadi Singida bei ni 45,000

    Ubora pia...ni kama mpunga huwezi fananisha mpunga wa Mbeya na Moro au shinyanga.
  3. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Anazeeka na ubaya wake....manake soon kitamlamba tu kutukanana na wanasiasa uchwara hawa.
  4. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Sio lazima kuoga kila siku.

    Wachina na wa Asia wengi hawaogi on daily basis.
  5. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Kwanini alijiita DJ Choka? Ona sasa jina linamfuata.
  6. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais patajengwa brand new city kwenye fukwe za pangani mfano wa goldcoast australia au miami

    Purchasing power ya Watanzania ipo chini sana kumuda huduma utazojenga...labda mahotel na migahawa kwa ajili ya watalii na watanzania wachache!
  7. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Japo Mungu Ndie Muumba wa Dunia Hii, Inawezekana ni Shetani Ndie Mtawala wa Dunia Hii?, Haiwezekani WaKweli Wana Sulubiwa Huku Mungu Anaangalia Tuu!

    Mdogo wangu alipenda sana kanisani na kuomba ila mwisho wa siku alifariki kwa ajali na maishani hakiwai kuwa maisha yanayoeleweka...ilinifikirisha sana
  8. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Ila kwenye kufua tuanze kununua laundry mashine kiukweli...kufua kwa mikon ni kazi jamani.
  9. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Sio lazima kuoga kila siku.

    Sasa upo makete utaoga daily kweli...
  10. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Sio lazima kuoga kila siku.

    Sijawai kulala kitanda kimoja na mwanaume mwenzangu...misibani kama hakuna lodge bora niegamie viti tu.
  11. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Japo Mungu Ndie Muumba wa Dunia Hii, Inawezekana ni Shetani Ndie Mtawala wa Dunia Hii?, Haiwezekani WaKweli Wana Sulubiwa Huku Mungu Anaangalia Tuu!

    Ukitoka nje ya Box na watu kusema ukihoji ni dhambi ila kuna mambo mengi yana ukakasi sana! Unaomba miaka nenda rudi upo vile vile ila ukikosea unaadhibiwa haraka haraka. Sijui lakini hii dunia utaratibu wake unashangaza sana.
  12. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Japo Mungu Ndie Muumba wa Dunia Hii, Inawezekana ni Shetani Ndie Mtawala wa Dunia Hii?, Haiwezekani WaKweli Wana Sulubiwa Huku Mungu Anaangalia Tuu!

    Hatari sana, inafikirisha sana...hio safari ya kwenda mbinguni ina masharti ya kutosho ambayo huwezi mpa mwanao uliemuumba kwa upendo.
  13. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Hivi hata jeshini Kuna wizi? Huyu mwanajeshi amepata wapi hizi fedha za kuinunua Namanga Makangira.

    Vigogo wa JKT ndio wana pesa sana kuliko waliopo JWTZ...
Back
Top Bottom