Nilipata ukakasi na umri wa hawa vijana nikaa kimya cz watasema sio mzalendo...nna mtoto ana 16 yrs ukimueka na huyu aisee huyu ni bro kabisa kwa mwanangu...sio ukubwa wa mwili no, mwangalie tu
Mtoto huo umri ni form two or one ...huyu ukimuweka hivo vidato ana fit kweli?
US asipoendelea na mpango wa kufanya mabadiliko ndani ya Iran...atakua mhanga wa matukio ya kigaidi yatakayopangwa na Israel na kuipa lawama Iran ili kumlazimisha US kuvamia kikamilifu Iran.
Ujasusi umetofautiana dhima zake ... mf US&Israel ni wazuri kote ila hasa kwenye kufanya ujasusi nje ya mipaka yake na nchi kama cuba ni wazuri sana kwenye kujilinda...sasa China wao ni kwenye uchumi na teknolojia.
Kwanini unahonga wakati unadai hujaiba?
Nna shaka!
Court kataa kila kitu...kubali jina tu mengine kataa hata umri, we waambie mahakama izibitishe kils kitu kiletwacho khs wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.