Recent content by Mr Slim

  1. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Amenaswa na maneno ya kinywa chake mwenyewe; Asema - Zanzibar hakuna "aliyenyukuliwa". Watanganyika "Tulinyukuliwa" kwelikweli...!!

    Mata.ko yake huyu mama yake Lucas Mwashambwa
  2. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Lake zone Huu utaribu mmeiga wapi, pub, Bar Eti unalipia 10,000 unamtoa mhudumu

    Mara ya mwisho nililipa 5000 ilikua mbeya ili niondoke nae , kipindi icho sijaujua wokovu! Ulevi unaoambatana na uzinzi ni gereza heavy sana.
  3. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Rais Wa Uganda Kufanya Ziara ya Kikazi Nchini Kwa Mualiko Maalumu Wa Jemedari Wetu Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan

    Museveni ukija please ondoka nae huyo mama!
  4. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Je kijijini kwenu kuna hawa watu wanaomba kama vijiji vya kwetu?

    Sio tabia nzuri kiukweli cz sio wote wanakua na nia nzuri na hio pesa, wengine mashetani tu.
  5. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Ubinadamu ni kazi sana

    Bado bikra wewe...12!!!!?
  6. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Mt Secilia Makuburi punguzeni kutoa hits kila kukicha.

    Kutumia gitaa nyimbo za kikatoliki ni kosa?
  7. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Kisa cha jamaa anaetembea na mke wa fundi kinyozi

    Shule zimefunga tena?
  8. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Tangu uanze kusafiri kupitia mabus ya kisasa yenye vyoo ndani ulishawai kujisaidia haja kubwa,ulijisikiaje?

    Hivi kuna buses super luxury toka Dar to Mbeya? Dar to Tanga/Arusha niliona.
  9. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona Supu ya nguruwe

    Usiite Najisi kilichotakaswa na Mungu.
  10. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Uwe na usafiri wako atleast pale.
  11. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    MImi mwenyeji wa Mbeya...kuibadilisha Mbeya ni safari ndefu, pamesahaulika kweli upo sahihi...mipango miji hawapo serious pale ila barabara zinajengwa kwa sasa.
  12. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Kabisa , labda waseme mkusanyiko gani wa vijiji Tanzania ni bora...maana tunayoyaita majiji yote ni mkusanyiko wa vijiji , labda dar at least ni mkusanyiko wa mitaa.
  13. Mr Slim

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Tanzania yote tu ni ya ovyo...Dar yenyewe ya ovyo kweli...ukiwa unashuka na ndege ukaiona toka juu na hukuwapo Tz kwa muda ndio utaona ilivo ya ovyo so hakuna jiji zuri Tz acheni kujifariji.
Back
Top Bottom