Recent content by Mr Slim

  1. Mr Slim

    Mama Anauza Sufuria 5 Kubwa za Chakula Kwa Siku: Halipi 100 Serikalini!

    Ana urafiki na mtu wa mochwari...sio wateja hao mpaka anawakemea.
  2. Mr Slim

    Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Nilipata ukakasi na umri wa hawa vijana nikaa kimya cz watasema sio mzalendo...nna mtoto ana 16 yrs ukimueka na huyu aisee huyu ni bro kabisa kwa mwanangu...sio ukubwa wa mwili no, mwangalie tu Mtoto huo umri ni form two or one ...huyu ukimuweka hivo vidato ana fit kweli?
  3. Mr Slim

    Kauli ya 'Matako yao' ipo hata kwenye wimbo ambao Naibu Waziri ameshiriki kuuimba, we msajili wa Vyama ukoje?

    Kwani mtu akisema kwa mfano"Mikono yako" ni tusi? mbona mmeyawenga tu matako wakati ni sehemu ya mwili
  4. Mr Slim

    Vita vya Marekani Mashariki ya Kati vinaweza kuchochea ugaidi dhidi ya raia wa Marekani Ulimwenguni

    US asipoendelea na mpango wa kufanya mabadiliko ndani ya Iran...atakua mhanga wa matukio ya kigaidi yatakayopangwa na Israel na kuipa lawama Iran ili kumlazimisha US kuvamia kikamilifu Iran.
  5. Mr Slim

    Kwanini kiatu kilinikimbiza?

    Hio speed ndio utajua binadamu ana uwezo wa kupaa ila anajiendekeza
  6. Mr Slim

    Angalia Polisi anavyo simama kwenye Moshi wa Bangi wala hapigi chafya, eti ni Ukakanavu

    Umenikumbusha rafiki yangu afande...alikua anakuja na ndumu toka kituoni tuvute Walizokamata zile.
  7. Mr Slim

    Waziri Ulega: Tanzania inapendeza, ziko picha Watanzania wamepiga kwenye barabara na madaraja yetu, unaweza ukadhani uko Dubai

    Kuna kijiji mbozi kinaitwa London...huwezi jua anaongelea dubai ipi
  8. Mr Slim

    PostGE2025 Kama ya Chande ilivyofeli ndivyo hii Tume mpya itafeli

    Yule dada atuandalie wimbo wa mwenyekiti wa sasa
  9. Mr Slim

    Ujasusi: Mauaji ya afisa wa ngazi za juu wa Hamas yaliyorekodiwa kwenye CCTV za jiji la Dubai

    Nimeingia hii hotel ...mdogo wangu alifikia hapo alipokuja Dubai.
  10. Mr Slim

    Mimi naamini wachina wapo smart sana kwenye UJASUSI ila taalifa zao haziji apa jukwaani

    Ujasusi umetofautiana dhima zake ... mf US&Israel ni wazuri kote ila hasa kwenye kufanya ujasusi nje ya mipaka yake na nchi kama cuba ni wazuri sana kwenye kujilinda...sasa China wao ni kwenye uchumi na teknolojia.
  11. Mr Slim

    Wakuu naomba Tupeane uzoefu ulifanyaje, ulijinasuaje, ulimchomoka vipi au ulishinda vipi kesi Polisi/Mahakamani?

    Kwanini unahonga wakati unadai hujaiba? Nna shaka! Court kataa kila kitu...kubali jina tu mengine kataa hata umri, we waambie mahakama izibitishe kils kitu kiletwacho khs wewe
  12. Mr Slim

    Wakuu Nimekata Shauri, Sinywi Pombe kali tena

    Pombe kali huko Tanzania hazina viwango...ni nyingi mno ,Serikali haizibiti kabisa ni holela holela tu....
  13. Mr Slim

    Hivi Pombe za kunywea nyumbani hazipandi

    Mimi pombe napendelea kunywea home au sehemu karibu na home kwa usalama wangu.
  14. Mr Slim

    Kwanini wanajeshi wa Marekani wanastaafu utumishi mapema?

    Ni Ajira...mikataba mna renew kila baada ya miaka minne...so unaweza amua u sign tena.
Back
Top Bottom